princessita
Member
- Aug 19, 2013
- 21
- 6
Amemzalimsha mwanamke na mali kamlipia. Sasa hv anadai amtaki kwa sababu zisizo na kichwa wala mguu eti ananipenda mimi anataka tufanye maisha anioe licha ya hivyo.
Bado anawivu lukuki kwa huyo mama watoto wake kila kitu anampangia kufanya na mawasiliano yasioisha mwemwemwe mbona kama naibiwa mbona kama narubuniwa mie mbona kama nadanganywa au anataka kunitumia?kwa manufaa flani?
Wanajamvi saidia mimi niko dilema
Bado anawivu lukuki kwa huyo mama watoto wake kila kitu anampangia kufanya na mawasiliano yasioisha mwemwemwe mbona kama naibiwa mbona kama narubuniwa mie mbona kama nadanganywa au anataka kunitumia?kwa manufaa flani?
Wanajamvi saidia mimi niko dilema