1.(Kwa mfano kwa sababu mimi ndo mwenye ex tunayewasiliana bado,
mazungumzo yetu hayaruhusiwi kuwa zaidi ya kujuliana hali).
hii ni hatari zaidi mpenzi wako kujua chochote kuhusu ex wako,the greatest mistake you ever did to your wife.
kwanza usifikiri kuwa anachukulia kawaida na kwake kukuruhusu kuwasiliana nae ni kujiwekea kinga kwake kuendelea kuwasiliana na huyo rafiki yake na mbaya zaidi anajua ulikuwa unadate nae na yeye hakuwahi kudate na mtu,automatically wewe unakosa uhalali wa kumhoji kwa sababu atakuuliza iweje wewe ulisex kabisa hakuhofii kuongea na ex wako lakini wewe umuhofie kuongea na rafiki ambaye hata kumtongoza hakuwahi.UMEJIFUNGA.
2.(Najua kwa sababu hakuna kabla yangu aliyewahi)
(a)inawezekana kusex na demu partially na usimtoe bikra,una unauhakika gani kama demu wako hajawahi kumvulia jamaa nguo zote akatouch kila kona na hata kusex partially?
(b)inawezekana kutumia utaalamu wa kiafrika kurudisha bikra ama ule wa kichina to fake men,je una uhakika gani kuwa bikra ya demu wako ilikuwa original?
(b)kama ulishangaa kiss tu,je unajua wakiwa wao peke yao wanaenda mbali kiasi gani?je hawafanyi deep kiss,hawatomasani vile watakavyo?
ANZA KUFIKIRI TOFAUTI IMANI ULIYONAYO HAIPASWI KUFIKIA 100%
3.uzunguuzungu ulikuwa mwingi
wengine hupitia humuhumu si huna wasiwasi
4.(Na kama wanakuwa wapenzi ni kwa nini miaka yote hiyo wako close wasiwe?(No body was stopping them. Na nnajua hawajawahi kuwa hivyo)
kushiriki mapenzi siyo lazima wawe walishafanya sex,romance na kuzoeana kupita kiaasi wanaweza hata kukaa uchi wakachezeana na hii pia ni hatari zaidi mana wanaza kufikia huko muda wowote.
5.naamini itakuwa ngumu sana kwake kuvuka mipaka
ni ngumu ila inawezekana pia
6.(mnisaidie second year mimi)
pole sana ndo naenda kutoa ushauri maana wengi wanaonekana kupata wakati mgumu zaidi kukushauri na kiukweli kwa mada hii lazima uumize kichwa.
7.How do i rescue her before she breaks her heart?
-kwanza muite umueleze kuwa sasa huna raha na umekosa imani kama uhusiano huo ni wa kawaida kama ulivyooamini,usiogope mweleze mazingira yanayokupa wasiwasi zaidi.
-ili kuiokoa ndoa yako lazima sasa ubadili mfumo wa maisha na ile mipaka mliyowekeana inabidi muipitie upya mfano kama akihoji kwa nini wewe uendelee kuongea na mpenzi wa zamani inabidi uwe tayari kuachana na huyo ex wako naamini ukimweleza kuwa sasa wife hataki muongee anaona wivu atakuelewa.hii itasaidia kuondoa kinga kwa demu kuendelea kuwa na ukaribu unaotiliwa mashaka
-pia mwambie kuwa uhusiano wa karibu unahatarisha ndoa zote mbili na hivyo kuna ulazima wa kubadili mfumo wa urafiki na maisha
-kimsingi hakuna tatizo kwa hizo zawadi hata kama ya mkeo ina pesa kubwa,ina tegemea alipanga kuwanunulia nini,kama alipanga kumnunulia laptop mke wako akakuta inauzwa paundi 450 ulitaka afanyaje asinunue?hapana na hakupaswa kutumia gharama kupanga amununulie nini mkeo na mpenzi wako,mkufu ni zawadi sahihin kwa mke wake bila kujali gharama,hebu jiulize kama angemnunulia mkufu demu wako kwa pauni 300 na akamnunulia mke wake laptop kwa pauni 450 ingekuwaje?vuta picha hata mke wake angejisikiaje?ingekuwa balaa zaidi,mfano mwingine tuseme jamaa angenunua vyote viwili kwa mke wake alafu mke wako akamletea zawadi hata ya underwear,hivi hapo utafikiria kupitia gharama ama kupitia aina ya zawadi/jibu unalo mwenyewe
HII SASA HAPANA
(Mke wangu amekuwa mkimya too much hata siku moja tulikuwa tunatoka kazini kila nikianzisha stori
inakufa niakaamua kunyamaza nimuobserve almanusura apitilize nyumba(alikuwa anaendesha).
HAPO KUNA KITU KINAMSUMBUA SANA NA HAJUI AFANYE NINI JUU YA MAAMUZI MAGUMU ANAYOYAFIKIRIA.
na maamuzihayo yanakuhusu wewe na si mtu mwingine na pengine anafikiria ni namna gani anaweza kukuacha mana hana raha tena na ndoa yake na kama kinachomsumbua hakikuhusu ama si kibaya kwako angekuwa mwepesi zaidi kukushirikisha ili umusaidie lakini hapa anafikiria aanzaje kukuambia ukweli ama kuanzisha tatizo
(Siku moja nilimuacha mke akichat naye sebuleni narudi namkuta anafuta machozi fasta! Nilimbana cku hiyo hadi karibu tugombane.
Ni kazi? hapana, nyumbani? hapana wazazi? hapana nimekuudhi? hapana. Ni hormones? hapani Nikamtaja jamaa aliyechati naye
labda kamuudhi akashtuka kidogo then hapana!Nikamkomalia tukaelekea kugombana ikabidi nimuache.)
HATA KAMA NILIKUWA USINGIZINI NINGESHITUKA NA USINGIZI UNGEPOTEA GHAFLA.
pamoja na kumuuliza alikaa kimya kwa sababu yaliyomfanya atoe machozi si mambo madogo na jiulize WEWE AMESHAKUTOLEA MACHOZI KWA JAMBO LA KAWAIDA?kwa wenye akili hakuna hata sababu ya kuendelea kuhoji kama alikataa kutoa ushirikiano wowote na kwa USHAMBA WAKO KAMA WA MSHINGA UKAONA UPOTEZEE