dats y nilisema kua am not awea km nimependa palipo pendwa au palipokwisha olewa. nikilijua hili itanibidi nizingatie itifack
mke wa mtu ndio mtamu:mwaaah:
mke wa mtu atakayethubutu kunikataa huwa anageuka chizi :bowl:
Akiendelea kukusumbua just let me know. I know you know how am capable of ..... Someone will get killed.
Naeza shea na mtu kitu chochote lakini si wewe mke wangu. I love you.
Badili Tabia nadhani hujaa iacha badili tena, umenichekesha sn
Mkuu!!...Jipinde Utupie Japo Kashairi Ka Mashambulizi Hapo Chini!!...
Weng Imewatoa!!
hahahahahah
nikikumbuka yule aliyesema avatar kama komba mwiko, huwa nacheka sana nikiona avatar yako..!
hahahahaha
Wana Jamvi, mnajuaje huyu NI mwanamke na Ana mvuto?
hahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaa inawezekana kweli ukawa we ndio preta, hw come moto2012
Hahahahahahahaha!!
Shortly Preta is my wife!!!
teh teh!!
mtu mwenyewe kismati cha kupendwa 0
mvuto 0
halafu unaleta leta maringo, kwendraaaaaaa!
wapi preta,Wana jamvi, tangu niingie humu jamvini nimejikuta as days went on huyu dada anahit sana in my mind mpaka nasujudu kuweka bayana jamvini ili yeye mwenyewe ajue kuwa kwa jinsi tu alivyo amekua someone so impressive to me and she z making me so flirt, she z notin else bt PRETTA, am not sure kwamba naweza nikawa napenda palipopendwa bt since wanajamvi mwaweza kua full knowledged na huyu kisura nadhani nitajua which path shuld I follow, ni vziri sana yy mwenyewe pia akisema neno juu ya hili.
Huyo Preta mwenyewe unamfahamu?