stineriga
JF-Expert Member
- Jun 20, 2012
- 2,172
- 886
watu majasiri eeeh, ngoja na mimi nifunguke kwa BADILI TABIAhwell:
Last edited by a moderator:
watu majasiri eeeh, ngoja na mimi nifunguke kwa BADILI TABIAhwell:
Wana jamvi, tangu niingie humu jamvini nimejikuta as days went on huyu dada anahit sana in my mind mpaka nasujudu kuweka bayana jamvini ili yeye mwenyewe ajue kuwa kwa jinsi tu alivyo amekua someone so impressive to me and she z making me so flirt, she z notin else bt PRETTA, am not sure kwamba naweza nikawa napenda palipopendwa bt since wanajamvi mwaweza kua full knowledged na huyu kisura nadhani nitajua which path shuld I follow, ni vziri sana yy mwenyewe pia akisema neno juu ya hili.
Anazuga kwanza...........wanasema mwanamke kuchelewa kukubali ni suna
Tena uishie hapo hapo kabla sijakubadilisha jinsia ikiwa na mimba. BADILI TABIA ni mke wa ujana wangu. Ni mali yangu peke yangu tena peke yangu tu.
You have been warned!
...hubby mwambie huyo.............
Tena uishie hapo hapo kabla sijakubadilisha jinsia ikiwa na mimba. BADILI TABIA ni mke wa ujana wangu. Ni mali yangu peke yangu tena peke yangu tu.
You have been warned!
she z notin else bt PRETTA, am not sure kwamba naweza nikawa napenda palipopendwa bt since wanajamvi mwaweza kua full knowledged na huyu kisura nadhani nitajua which path shuld I follow.[/QU Bro hatujuani, ingawa umetaka aje ajibu preta mwenyewe, but kwa kuwa mimi ndo mwenyewe naomba komea hapo hapo, ikiwezekana ondoa uzi huu!
.......uwiiiiii mke wa mtu mie..
Wana jamvi, tangu niingie humu jamvini nimejikuta as days went on huyu dada anahit sana in my mind mpaka nasujudu kuweka bayana jamvini ili yeye mwenyewe ajue kuwa kwa jinsi tu alivyo amekua someone so impressive to me and she z making me so flirt, she z notin else bt PRETTA, am not sure kwamba naweza nikawa napenda palipopendwa bt since wanajamvi mwaweza kua full knowledged na huyu kisura nadhani nitajua which path shuld I follow, ni vziri sana yy mwenyewe pia akisema neno juu ya hili.
dats y nilisema kua am not awea km nimependa palipo pendwa au palipokwisha olewa. nikilijua hili itanibidi nizingatie itifackAhahahahaaaaaaa, eti unamjua 50%! Binadam huwezi mjua kwa parcent kubwa hivyo sembuse mwenye Identity fake (identity za JF) ya kumficha?
Je unauhakika ya Kuwa si mmama aka mbibi? Unauhakika ya kwamba si dume? ( make wengine humu huwa hawataki wajulikane hata jinsia zao mf. Kongosho). Je unafahamu ya Kuwa kaolewa au hajaolewa? Na kama kaolewa hujui ya kwamba mmewe anaijua JF identity yake?
Je unauhakika ya kwamba Preta sindugu yako wa karibu I.e mother, dada, shangazi etc etc?
Angalia mkuu usije ukapotelea msitu wa mabwepanda! Nahisi Kitu chenye NCHA kali kikirushwa toka pande zisizojulikana na harufu ya damu kutapakaa hapa! Ahahahahaaaaa, komaa ndugu yangu mjombo's!
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
hahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaa inawezekana kweli ukawa we ndio preta, hw come moto2012she z notin else bt PRETTA, am not sure kwamba naweza nikawa napenda palipopendwa bt since wanajamvi mwaweza kua full knowledged na huyu kisura nadhani nitajua which path shuld I follow.[/QU Bro hatujuani, ingawa umetaka aje ajibu preta mwenyewe, but kwa kuwa mimi ndo mwenyewe naomba komea hapo hapo, ikiwezekana ondoa uzi huu!