Hope urassa
JF-Expert Member
- Aug 22, 2017
- 2,384
- 4,740
2005 nkuwa darasa la 3hata nilkuwa naelewa basi😝
Mkuu...ila Lundenga yu hai
Nimeelewa mkuuSio kihivyo, ni mtu ninayetumia muda mwingi kujua vitu vingi kadiri ubongo wangu unavyoweza...
Huku mbele sijawahi kuwa mnazi wa mashindano ya ulimbwende...
Niliacha kufuatilia mwaka 2015 hapo aliposhinda Lilian Kamazima, baada ya hapo kuna mamiss ninayemjua ni kama Queen Makune tu, wengine siwajui hata mmoja...
Zamani za Lundenga na wale wahindi wa White Sands walijua kuyaweka sawa hayo mashindano, ashukuriwe kitu kingine cha zamani cheusi mangala Basila Mwanukuzi kwa kuyaokoa mashindano hayo...
Yap KP mjanja mjanjaHakutaka kupoteza muda kabla vijana hawajafanya yao
Hiki kilikuwa chuma kwelikweli, sema mwaka wao walikuwa wamoto sana...Wema, Jojo, Lisa.Umeanza kufuatilia Miss TZ mwaka gani?
Mimi tangu enzi za Aina Maeda, wakati huo akichuana kindakindaki na Tabasamu Ngongoseko...
Kati ya wachuchu wote buana, kuna kitu kilikuwa kinaitwa Lisa Jensen...
Mimi nashangaa wanavyomuonea tuu chibudeee 😄KP havumi ila nae yupooo, ukianza kuhesabu list yake.
Hivi bado anaishi?Huyu msichana na sasa mwanamama wa miaka 2003 miss Tanzania nampenda sana. Sinaga muda mwingi kumtazama ila angejua wengi tunavyovutiwa naye basi angefungua pazia.View attachment 2963632View attachment 2963633
Si upendo wa kiuchafuchafu ngonoana hapana. Nampenda alivyo tuuu hata sijui alikosaga vipi kuwa miss namba moja miaka ile.
KP ana umalaya wa chini chini mpaka ameamua kuoa wake wanne sio mchezo.Mimi nashangaa wanavyomuonea tuu chibudeee 😄
Siku hz yako chini ya Basila MwanukuziHapana. Sema tokea aachane na ayo mambo mashindano yamepoteza utamu
Unakumbuka enzi za Miss AspenUmeanza kufuatilia Miss TZ mwaka gani?
Mimi tangu enzi za Aina Maeda, wakati huo akichuana kindakindaki na Tabasamu Ngongoseko...
Kati ya wachuchu wote buana, kuna kitu kilikuwa kinaitwa Lisa Jensen...
Mpambano mkali wa ma miss ilikua Miss Ilala..Mbiki Msumi na Hoyce Temu....kisha ukahamia tena Miss Tanzania..Mbiki tena na Hoyce TemuUmeanza kufuatilia Miss TZ mwaka gani?
Mimi tangu enzi za Aina Maeda, wakati huo akichuana kindakindaki na Tabasamu Ngongoseko...
Kati ya wachuchu wote buana, kuna kitu kilikuwa kinaitwa Lisa Jensen...
1st runner up alikuwa Doto Nusurupia (If I am not mistaken).ephen_ usisikitike...
Pamoja na kwamba Nargis ni kisu lakini alichemsha kwenye kujibu maswali, Bahame alimzidi na yule mwingine namba 2 nimemsahau ngoja nitafute jina lake...
Ingawaje mamiss wa zamani Lundenga alikuwa anawachuja nafaka sana...
Mpambano mkali wa ma miss ilikua Miss Ilala..Mbiki Msumi na Hoyce Temu....kisha ukahamia tena Miss Tanzania..Mbiki tena na Hoyce Temu