Kelsea
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 14,974
- 35,342
Kusemana ni kawaida sana tuvumiliane tu.Na ni kawaida sana hakuna cha mbongo wala mganda😂
Kusemana ni kawaida sana tuvumiliane tu.Na ni kawaida sana hakuna cha mbongo wala mganda😂
Hebu tumuoneYeah sana, na watoto wa kike mnafanana na baba , nikimwangalia binti yangu ni mimi mtupu , kama mama yake alinibebea mzigo wangu bila yeye kuhusika
Nimempondea wapi? Mtu ana misifa tusiseme? Tumsifie tu kwamba ana sifa nzuri! Hebu hukoo..Hahaha nawewe ndio kiongozi wa kumpondea dada wa watu😅
Kujifanya madeputy jesus tu!🙌🏾Kusemana ni kawaida sana tuvumiliane tu.
Kaache kakue kwa amani , mje kukaponda😅Hebu tumuone
Lazima katapondwa tu or else ukapeleke kwenye kisiwa chake pekeeake!Kaache kakue kwa amani , mje kukaponda😅
Haka kuja kuishi umatumbini ni ngumu😅Lazima katapondwa tu or else ukapeleke kwenye kisiwa chake pekeeake!
Wahaya na misifa ni barabara mbili ziendazo sambambaNimempondea wapi? Mtu ana misifa tusiseme? Tumsifie tu kwamba ana sifa nzuri! Hebu hukoo..
Duh unene mkubwa sana kwa mwanamke sio mzuri
Mazoezi tu mkuu anarudi sawa, mifupa sana pia sio poa😅Akivua skin tyt unafumba macho unakula gizani kwa kupapasa, kutazama hizo kabeji za mmama mnene huwa ni kipaji pia ujue, unaweza usirudi tena yani
Kapeleke The HagueHaka kuja kuishi umatumbini ni ngumu😅
Na hutakiwi kuwawaza wala kuwasema🤦🏽♀️Wahaya na misifa ni barabara mbili ziendazo sambamba
Ila wadada wakihaya wa zuri sanaWahaya na misifa ni barabara mbili ziendazo sambamba
SijapendaaAkivua skin tyt unafumba macho unakula gizani kwa kupapasa, kutazama hizo kabeji za mmama mnene huwa ni kipaji pia ujue, unaweza usirudi tena yani
Wewe kuna mdada mbaya kwako?Ila wadada wakihaya wa zuri sana
KwambaWewe kuna mdada mbaya kwako?
Urembo wa sura hapanaMimi natoa wapi urembo wote huo🙆🏽♀️
Kuna dada unamuonaga mbaya kwani?Kwamba
Kweli wote nawaona wazuri tu sijui kwaniniKuna dada unamuonaga mbaya kwani?