Nampenda sana Najma Paul

Nampenda sana Najma Paul

Sioni kama ana sifa km wadau walivyomsema humu, ila tu anajiamini kupitiliza, anajiamini alivyo mwili wake(mfano ni kuhusu kovu lake la mkononi, halifichagi na anasemaga kabisa ukikereka ni wewe yeye haimuhusu), vilevile anajiamini kwenye husiano lake, yuko proud na mume wake

Watanzania tunaendekeza uoga tukiamini ndo tabia nzuri sasa huyi dada hayupo hivyo na nzuri zaidi hajali mitizamo yenu,

Mliosema ana uhaya nawahakikishia hamuwajui wahaya, sifa za muhaya ni za kijinga na kitoto mno
 
Sioni kama ana sifa km wadau walivyomsema humu, ila tu anajiamini kupitiliza, anajiamini alivyo mwili wake(mfano ni kuhusu kovu lake la mkononi, halifichagi na anasemaga kabisa ukikereka ni wewe yeye haimuhusu), vilevile anajiamini kwenye husiano lake, yuko proud na mume wake

Watanzania tunaendekeza uoga tukiamini ndo tabia nzuri sasa huyi dada hayupo hivyo na nzuri zaidi hajali mitizamo yenu,

Mliosema ana uhaya nawahakikishia hamuwajui wahaya, sifa za muhaya ni za kijinga na kitoto mno
Wahaya mda mwingine nawachukulia kama wanachekesha tu
 
HUYO KAOLEWA NA MJANJA WA BUKOBA!

TAFUTA MBURURA MWENZIO MUOWANE,ACHANA NA WAKE ZA WATU!

PENDEKEZO:

TAFUTA MBURURA LAKO MOJA TOKA TABORA,SINGIDA au MANYARA ULIFANYE ZAIDI YA NAJMA PAUL,Nadhani mbinu hii itakusaidia kujipatia pisi kali!
Bilashaka wewe ndio mumewe huyo kahaba! Maana sio kwa kupanic huko aisee!
 
Hivi ujanja maana yake nini wandugu? Maarifa? Kazi njema? Fweza? Kuongea sana? Kujua mambo sana? Academic performance?

Nisaidieni wandugu kujua nikiambiwa fulani mjanja nijue kipimo gani kimetumika kujudge. just curious...
Dar ukiwa tapeli tu we tayari ni mjanja! (Kwa tafsiri yao) Ukiwa mstarabu Fulani ila muelewa wa vitu vingi,wao wanakuona boya,the end watakuja kusema jamaa ulikuwa ukimuona kama boyaa kumbe noma aisee!
 
Si nasikia ameolewa na Mwanadilomasia Mwandamizi baada ya Kuacha Ile machine ya kusaga na Bhoke????
 
Mwenyewe huwa nakubali sana🤣 tuka akiwa EATV, Huwa nawasha tu TV kwenye Dadaz kumuangalia huyu mrembo,, Sasa ndo anazidi kunichoma kahamia Clouds TV.. oooh Najma weeeeH😁
Kama ni feminist tayari mjumbe amepigwa 3:0 kabla mechi haijaanza
 
Back
Top Bottom