Kahama- shy
JF-Expert Member
- Oct 18, 2024
- 1,951
- 2,693
- Thread starter
- #41
Noma sanaAna tabia ya ujua ujuaji hivi kama wanawake wa Pwani au Wapogoro...
Kwa masifa yale sikuwahi kujua ni mtu wa kanda ya ziwa hadi alipojitaja...
Noma sanaAna tabia ya ujua ujuaji hivi kama wanawake wa Pwani au Wapogoro...
Kwa masifa yale sikuwahi kujua ni mtu wa kanda ya ziwa hadi alipojitaja...
Mdada ni mzuri.Jamani😂😂
Alikuwa dadaz ya Eatv saiz nasikia yupo clouds! Yani anafurahia kazi yake mpaka kapitiliza, kuna namna anajiona huku hatumuoni hivyo!Mdada ni mzuri.
Yuko kwenye vipind vya umbea umbea sio? .
Vijana kataa ndoa wapiga punyeto walikubaliana humu, wake wa watu na singo maza ndio michepuko rahisi sana, wengi waliapa hawajawahi kukataliwa papuchi na hao wanawakeAlishaolewa huyo wewe endelea tu kumpigia punyeto
Nakupenda Sana mwanne binti Othman 😋😋.Umeona eeh, baada ya ndoa sasa, mda wote kujigamba na kuringisha Pete, hadi kuna siku Mwanne alimchana wazi aache ulimbukeni, kuna wenzake wako ndoani anniversary na jubilee zao, 😂😂😂
Mume wake mwenyewe wa kawaida tyuuh, wamepatana wa kufanana. Lol
Sidhani kama ni mkubwa kihivyo shida ni ule mwiliKweli ana miguu mizuri na rangi nzuri sana ila umri umesonga sana🤔
Insta walimchamba walimuambia kwa mume gani kutwa kujisifia, zile comments nilicheka sanaNamjua vzr tu simuelewagi aisee! Kipindi hajaolewa ndio kachumbiwa, kwenye dadaz kila mara mchumba wangu sijui anapenda hivi mara chumba lelelelee kuja kumuona harusini🤦🏽♀️
Halafu anasauti ya kunguruma sana yenye kumtoa chatu pangoni.Sidhani kama ni mkubwa kihivyo shida ni ule mwili
Shida ana sifa sana, mumewe wanaendana kwakeli ila uhaya pro🙌🏾Insta walimchamba walimuambia kwa mume gani kutwa kujisifia, zile comments nilicheka sana
Shida ana sifa sana, mumewe wanaendana kwakeli ila uhaya pro🙌🏾
Wala sura sio ya baba yake labda rangi tu imekuchanganya😅Na ana sura ya baba yake naona wadau wanakwepa sana hilo, wanaangalia mgongo zaidi kwenda chini 😛
Nimeona kama 40+Sidhani kama ni mkubwa kihivyo shida ni ule mwili
😁😁Shida ana sifa sana, mumewe wanaendana kwakeli ila uhaya pro🙌🏾
ni yule dada wa TV stesheni flan ana sauti ya baseHuyu dada namkubali. Sana Najma Paul mwambieni jamani ucheshi wako lmimi ni shabiki wako, NAKUPENDA sana Mimi kijana wa hovyo sijui umeolewa Sina kitu Sina hela, Mimi ni kafwebe 😞
View attachment 3556142View attachment 3556143
Kaolewa na ndoa juu. Ila ana misifa hatari,
Mmh
Huyu atakua kwenye 30's shida ni ule mwili ndio unamzeeshaNimeona kama 40+
Kabisa mtu anakuchukia tu hata kukuona hajawahi just imagineWabongo tuna chuki na vitu vingi sana, tunachuki na Shetani, serikali, CCM, umasikini, maisha, pesa, Chuki na ujuaji, Sasa ndo maana tunazeeka mapema sana nyuso zimejaa wrinkles ,