Bongeee
Senior Member
- Jan 2, 2016
- 166
- 199
Jamani mbona unataka ukuonea sasa!!me au ke!??Wewe ni Me au Ke? Tuanzie hapo
Jamani mbona unataka ukuonea sasa!!me au ke!??Wewe ni Me au Ke? Tuanzie hapo
Hatia4, mtu ana kucheat bado unataka uishi nae,Kunguru hafugikiSikiliza ngoma za Dizasta Vina na ufocus
Ushamtukana tayariSijui nikutukane ila kama hicho unachosema ni kweli ww ni moja ya wangese unaaibisha wanaume et namuomba msamaha kama zezeta vile
Nakazia hapaMbuzi wewe kunywa ufe tuje kukuchimbia. Madem wapo wengi wazuri na ni watam kinyama, wewe unahangaika na huyo kenge mmoja kwani umezaliwa nae.
Pumbafu sana kijana huko siyo kupenda huko kunaitwa upumbafu( mbumbumbu)Haya mapenzi yasikieni tu. Huyu mdada nmempenda mpaka basi. Kila mara namfumania live au nakuta msg za mapenzi kwenye simu jamaa wakimsifia kuwa ni mtamu. (hapa huwa najipongeza kwa kuchagua mtoto ambaye hata wenzangu wana kiri)
Nikimfumania mara nyingi anakuwa mkali nami namwomba msamaha kwa kumuudhi. Hapo naweza mbembeleza hata week nikilia ndo ananisamehe kwa shingo upande sana.
Kiukweli nampenda na sipendi kumpoteza. Huwa namwambia basi anapo ni cheat awe makini nisiwe najua mwenzie anaumiza roho yangu anajibu sawa atajitahidi. Haupiti mwezi anarudia tena.
Nikimuuliza anakuwa mkali kuwa kwa nini namfuatilia na kumfanya akose uhuru.anasema mimi mlalamishi sana.
Sasa toka lasti wiki napiga simu hapokei.nimeenda anapoishi hayupo. Nimehangaika sana. Jana katuma msg kuwa hanitaki tena... Nmeumia sana kwa kweli nawaza nitaishi vipi nami nlishamzoea...natamani kunywa sumu. Hata sijui ipi ndo nzuri. Sijalala usiku kucha namuwazia Kidawa.
Hapo hakuna maumivu bwana mdogo ni unadeka tu.
Ushawahi kutana na maumivu ya kuchaniwa mkeka na timu moja?
Achana na mapenzi utakufa mbwaa ww njoo huku tupambane na kanji.
Hahah balaaaHuko kwa kanji atakufa mapema mno, bora abaki huko huko kwa alikozoea.
Faken KabsaHaya mapenzi yasikieni tu. Huyu mdada nmempenda mpaka basi. Kila mara namfumania live au nakuta msg za mapenzi kwenye simu jamaa wakimsifia kuwa ni mtamu. (hapa huwa najipongeza kwa kuchagua mtoto ambaye hata wenzangu wana kiri)
Nikimfumania mara nyingi anakuwa mkali nami namwomba msamaha kwa kumuudhi. Hapo naweza mbembeleza hata week nikilia ndo ananisamehe kwa shingo upande sana.
Kiukweli nampenda na sipendi kumpoteza. Huwa namwambia basi anapo ni cheat awe makini nisiwe najua mwenzie anaumiza roho yangu anajibu sawa atajitahidi. Haupiti mwezi anarudia tena.
Nikimuuliza anakuwa mkali kuwa kwa nini namfuatilia na kumfanya akose uhuru.anasema mimi mlalamishi sana.
Sasa toka lasti wiki napiga simu hapokei.nimeenda anapoishi hayupo. Nimehangaika sana. Jana katuma msg kuwa hanitaki tena... Nmeumia sana kwa kweli nawaza nitaishi vipi nami nlishamzoea...natamani kunywa sumu. Hata sijui ipi ndo nzuri. Sijalala usiku kucha namuwazia Kidawa.
Mkuu fuata ushauri wangu coz nina nia ya kukusaidia.
Simaanishi una kichaa ila naamini ni shida ndogo tuuu ya kisaikolojia, inayotatulika
Nenda Muhimbili kwenye kitengo cha magonjwa yanayohusiana na akili wana dawa zao watakupa utakaa sawa na utaacha kuteseka na huyo mwanamke.
Kuna rafiki yangu alipatwa na changamoto kama yako aliitatua muhimbili.... Hadi leo akikumbuka anaishia kucheka
Hahah balaaa