hamic mussa
JF-Expert Member
- May 1, 2012
- 227
- 19
- Thread starter
- #41
Labda anaona aibu kukwambia au ananuna bila sababu, yaani ni tabia yake, jifunze kuishi na hiyo hali, n umeambie ukweli kuwa hufurahii hizo moods zake, kwa upendo
thawa ntajitahidi kumuongelesha kiupendo ila navyomjua atahisi namsimanga hlf anaweza akanuna hapo hapo.... Duh! Huu km ni mtihani bac ni wa NECTA.