Hivi mtu akikupa stress bado anakua rafiki yako ama..?...kwani kujitoa kwenye stress unashindwa nini,..au ndio umario wenu ndio unawasumbua i.e kulala kwa mwanamke,gari la mwanamke,chakula kwake,matibabu yeye,....ndio maana anakustress lakn bado unang'ang'ania.......
poa nimekubari ndugu ngoja nami nikaze buti