Mwananchi B
JF-Expert Member
- May 23, 2013
- 2,050
- 4,602
- Thread starter
- #21
Yeye hakupendi halafu nawewe unampenda na pia Unamwogopa,Mwanaume hupaswi kuwa hivyo na hapo ukweli ni kwamba kaonesha ishara zote za kutokukujali wewe na atakuwa na mtu mwingine huyo. Achana naye kwani atakutesa sana halafu pia utapoteza muda mwingi ambao ungeweza kuutumia kuanzisha mahusiano kwa mwingine.
Kiukweli nikiachana nae huyu, sitapoteza muda tena kwenye mahusiano kwa muda fulani maana kuna muda nikikaa nikiwaza anayofanya huwa nacheka kwa huzuni