Nampenda sana ila nakinai mapema

Nampenda sana ila nakinai mapema

wagaba

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
1,106
Reaction score
605
Nikiwa nae mbali namtamani na mapenzi yanakuwa juu, ila nikisha kaa nae kwa siku zaidi ya mbili tu, namkinai kabisa hadi natafuta kila mbinu niweze kumtoka. Baada ya wiki hivi, naanza kumtafuta na kubembeleza kwa cost kubwa tu.
Ameniambia "am just using her"
And she said she is now looking for someone who cares. Eti sasa roho inaniuma!
wadau, hali hii inawatokea na nyie au nimelogwa?
 
^^
Kuna Mheshimiwa anaitwa MziziMkavu ukipata bahati akapita njia hii, mwambie akuambie tabia za jini Maimuna anapotaka kutenganisha watu.
Na kama si huyo, itakuwa athari za punyeto, au athari za ulevi wa walezi wako
^^
 
Last edited by a moderator:
mchumba wako,demu wako au chapa ilale 2? maana sijakusoma arif.
 
wE MTOA MADA NI MSHENZI KABISA...BORA ATAFUTE MWINGINE
 
Huna makosa Mkuu kuna mademu wengine kwenye simu na satuti ya kubembeleza mtamu sasa subiri uwe nae uso kwa uso full ujinga tu. maudhi kibao alafu akienda huko kwao anadai nimekumisss nisamehe balh blah blha. Piga chini mkuu. wanawake wamejaa teleeeee
 
Kaa chini utulize mawazo then angalia tatizo hasa liko wap ndipo upate pa kuanzia br hayo yapo tu .Pia usichoke kumshirikisha hata mtu wako wa karibu kwa ushaur zaid
 
mh..labda mpenzi wako anastaili moja tu ambayo umeizoea.kwani mapenzi yanaitaji ubunifu kuazia kwenye mabazi.lugha.usafi wa mwili na ndani.the way anavyo kukea.na kitandani kwa ujumla sasa kama kila siku wa hivyohivyo inachosha.pia inawezekana we mwenyewe ukawa na psychological problem..kwamba akiwa mbali unammiss akiwa karibu unapata sexual arose hali inayopelekea uwai kumkinai.
 
Yeah hii k2 ipo kbs sio peeke ako najua umu utashambuliwa km umekwapua cm kariakoo ila ukwl unabaki hii hali ipo akiwa mbali unamkosa akija una wish asepe wengine hadi kwny ndoa inawatokea vile unakuta mpwa kaoa ila daily tuko nae kaunta tunagonga mvinyo ukiuliza km shem kasafiri anakuambia yupo ila amechoka kua nae karibu,cheki na wataalam ujue tatizo ni nn ila kujibu swali lako ni kwl hii hali ipo tena sn wengine ndo vile unashindwa kuonyesha tu ila unarudi hm km unaenda ngome keko simply wanaume kwany hili tuko wawazi sn.
 
mchumba wako,demu wako au chapa ilale 2? maana sijakusoma arif.
mwanzo niichukulia kama chapa ikalale lkn baadae tukachanganyana ikabidi apande daraja kuwa demu lkn she isn't wife material.
 
Yeah hii k2 ipo kbs sio peeke ako najua umu utashambuliwa km umekwapua cm kariakoo ila ukwl unabaki hii hali ipo akiwa mbali unamkosa akija una wish asepe wengine hadi kwny ndoa inawatokea vile unakuta mpwa kaoa ila daily tuko nae kaunta tunagonga mvinyo ukiuliza km shem kasafiri anakuambia yupo ila amechoka kua nae karibu,cheki na wataalam ujue tatizo ni nn ila kujibu swali lako ni kwl hii hali ipo tena sn wengine ndo vile unashindwa kuonyesha tu ila unarudi hm km unaenda ngome keko simply wanaume kwany hili tuko wawazi sn.
Nashukuru mkuu kwa kufunguka. siko peke yangu!
 
Back
Top Bottom