Mkuu tumia hiyo line of weakness kumaliza mambo kakurahisishia mmbo kwa kukwambia udhaifu wa mahusiano yake, tumia mwanya huo kumaliza mambo, ingekua mimi hapo ni sawa na kunitengea penalti na kumfunga golikipa mkono mmoja,nikikosa ni utaahira wangu.
Inaonekana huyo binti anampenda huyo jamaa yake ndio maan hataki kujitoa rasmi akitegemea labda jam atabadili mawazo na kujirudi.
Sasa wewe huu ndio wakati wa kumuonyesha upande mwingine wa mahusiano,onyesha kumpenda,kumjali bila kujali wako na mshakaji,fake mapenzi, mpe muda, mpe attention ya kutosha within weeks utafanikiwa.
Jaribu kumuonyesha pale alikosea hata kama anampenda mshikaji,na kwamba wewe ni the right choice kwake,mpe care ya kutosha kipindi hiki akiwa kwenye wakati mgumu, kua faraja yake awe anakukumbuka muda wote na kumis uwepo wako hata akiwa na jamaa yake uone kama hutamtafna bila yeye mwenyewe kujua ameliwaje.
Jifanye kujionyesha wewe ndio mwanaume alietakiwa kumpenda in the first place na sip mchizi wake.
ONYO: Usijaribu kumponda mshikaji,be your own.