mikatabafeki
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 12,771
- 4,656
Mbona avata yako kama nawe ni mdada,
Any ways kila la kheri
Any ways kila la kheri
Sidhani kama itakua sawa kumvujia mwenzio ili upate wewe,na vile vile unahakika gani kama akitoka huko aliko utachukua wewe? Kheir kukosea kujenga kuliko kukosea kuoa, vuta subra mtangulize mwenyezi mungu kwenye kila jambo lako
na mwenye kheir na wewe atakuja..
As long as huyo mdada ameshakwambia yuko na mtu heshimu maamuzi yake na endelea na maisha yako bila kutaja kujua kama huyo bwana wanaelewana au laa, kama rizki yako atakuja.
tatizo lako ni moja.........
swali langu ni moja..........
Ila kiukwel bila kukurupuka zipo njia nying za kutafuta furaha, usikaribu kuvunja ya mwenzako kisa kujenga yako, utakuwa unakosea, kiukwel ndo nyie baadae mnagongewa wake zenu, kwa kulazmisha kwenu Ushaur
Kaza Uzi plux kuonga kwingi utampata