Espy_
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 91,919
- 183,334
Kahaba ww huna lolote
kumbe vile ambavyo huwa mnademand kwa mwanamke huwa ni ukahaba!!
Kahaba ww huna lolote
mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu.
Ss mbona tunawafanyia vyote hivyo na hatulalamiki? Na bado tunagongewa lkn tunawasamehe.
Nyiny mkifanya kidogo tu mnaanza kulalamika.
50/50 si ndio mnataka au?
Kweny mapenz ya dhat huwa hatuangalii tunavyotoa au kupokea. Ndio maana huwa mpaka tunawasomesha, tunawapa gari n.k
inaonekana ww gold digger
usawa wa maghufuri huu usitegemee mwanaume kukupa hela sahizi
ha ha ha ha ha...... yamekufika hapaaaEddy ukisema hivyo usishangae ukisaidiwa mkeo/demu wako
I LOVE YOU TOO HONEY [emoji173]Nampenda niliempata huku JF aisee ananijali kila eneo. Humu humu ndani kuna watu wanathamini sana watu. I love you darling
hahahah..kwa hiyo Msingi mkuu wa mada hii ni PESA,PESA,PESA.......Sema tu kwamba hupewi pesa basi,izo kelele nyingine maigizo tu,,siwezi kuamin kama mwanaume akikupa pesa kila siku na shoping za nguvu pamoja na outing utamuacha,hata kama kitandani ni gogo ama awe hanisi,na hata kama hajui kueka mazingira safi,waga mnavumilia vyote bila kelele na i love nying, msipohongwa ndo mnakuja kueleza haya
Chamuhim ujue kunadizain (3)yawanaum
Ha ha ha ha hongera mi nafanya booking ili mkianza kupungua nikuwahiNina wasiwasi na huyo uliyenaye siye ndiye unayemsemea maana umeongea alafu ukajigeuka au wako wawili au zadi na wenzie ndiyo unawasema hivyo?
Karne hii binafsi kama demu huna salio ni hit and run faster with no loose of Time uanze mayowe ya Gold Digger alafu tena bado ni Blood Sucker.
Yaani mtaisoma namba na mlivyo wengi hivyo tena...yaani kwa ufupi tu kazi mnayo madem kwani kwa sasa ni 1me=10ke au zaidi.
Ukibahatika kumpata kijana wa chipsi mayai shukuru sana ng'ang'ania hapo for ua info,muda si mrefu wanaume tutatembea na chupi za kufuli maana tutagombaniwa kama mpira wa kona, tena LIBIDO kama mimi.
Achaaa tu, ni shidaaana mashuka unafua
kwa hiyo hii inajustfy mwanaume kulelewa?mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu.
Ss mbona tunawafanyia vyote hivyo na hatulalamiki? Na bado tunagongewa lkn tunawasamehe.
Nyiny mkifanya kidogo tu mnaanza kulalamika.
50/50 si ndio mnataka au?
Kweny mapenz ya dhat huwa hatuangalii tunavyotoa au kupokea. Ndio maana huwa mpaka tunawasomesha, tunawapa gari n.k
inaonekana ww gold digger
naunga mkono hoja.Nampenda niliempata huku JF aisee ananijali kila eneo. Humu humu ndani kuna watu wanathamini sana watu. I love you darling
Papuchi hasa kwa Dsm ukweli ni nyiongeza yaani beyond bure maandazi ni ghali.kwa hiyo hii inajustfy mwanaume kulelewa?
halafu kwa nini siku hizi mnapenda sana kushindana na wadada?
heheee pole sana,... ila ukiingia vizuri mbona free p zipo nyingi tu....Papuchi hasa kwa Dsm ukweli ni nyiongeza yaani beyond bure maandazi ni ghali.
Ninaogopa sana papuchi za Dsm kuliko papuchi za mikoani.