Nampenda mwanaume anayejiongeza

Nampenda mwanaume anayejiongeza

Sawa Bebi nmeelewa ntakuja na hela elf 10 ya malipo yote kuanzia menu mpaka shoo ulionipa, hukupaswa kuja kuniharibia CV yangu huku. I thought u did for love!!!
 
Daah,hapendi mchicha,anapenda samaki,wakati hata mbuni hujatoa?,...kweli Kuna marioo watatudharirisha wanaume aisee..
 
Sasa wewe na miaka yako 39 unadhani utampata MTU wa kukuonga au wewe ndio uonge otherwise uolewe na mababu
 
Love affair is a two way traffic thing kama unaweza pewa na ukafanyiwa the same things na mwanaume kwa nn iwe shida na ww ukimfanyia hivyo mwanaume...!?
 
Kuna mabint wengine hawajui kuomba hela direct kama huyu wangu.Utaskia swty daah nimefulia lakini vp huko kwema home?..ha ha ha hapo kisha maliza

Tunao jiongeza hapo Fasta kutuma airtel money babii wangu afurahie raha ya dunia.

Wasio jiongeza watasubiri
Mpaka bint aombe hela direct ha ha ha ila yote maisha tu...
NAPITA....
 
Back
Top Bottom