AMBASSADOR-M
Senior Member
- Jun 17, 2016
- 170
- 83
Yaani fanya tu kama unalipia vitu chakavu. Usinipe cash twende shopping nunua ata viberiti, mafuta ya kujipaka vaseline, nunua ata gesi basi yaani uoneshe unajali kwa kiwango chako.
In fact, as a responsible man, naafikiana nawew katika mambo yaliyo ndani ya uwezo wa mwanaume walau aoneshe ushirikiano kwa kadri alivyo! Nafikiri siyo haki bali yaweza kuwa busara Princess21