Mngekua wapweke sanatunakuja wakati mkiwa hedhi,,, then hao tunasepa.....
mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu.
Ss mbona tunawafanyia vyote hivyo na hatulalamiki? Na bado tunagongewa lkn tunawasamehe.
Nyiny mkifanya kidogo tu mnaanza kulalamika.
50/50 si ndio mnataka au?
Kweny mapenz ya dhat huwa hatuangalii tunavyotoa au kupokea. Ndio maana huwa mpaka tunawasomesha, tunawapa gari n.k
inaonekana ww gold digger
Hahaha hii nimeipenda kwa kweliAisee nampenda sana mwanaume anaependa kujiongeza, anakujali, anakuheshimu, anakupa pesa si kwa malipo ya ngono au starehe mliofanya BIG NO, anaona furaha ukivaa na kupendeza kwa kutumia pesa zake.
Lakini MWANAUME WA AINA HII APITE MBALI NA MIMI:
1. Anapiga simu, "Baby nimekumiss, naomba nije kwako nikusalimie" Akija mikono mitupu, atakuta maskini umepika, unampa ale, aoge, mtiane, akae kwenye tv aangalie mieleka.
2. Vocha natoa mimi
3. Kitanda changu, mashuka, mito n. k
4. Hajatoa pesa ya chakula, lakini anavojua kukandia"bby spendi mchicha, si ungepika samaki" Utadhani kachangia pesa
SHIDA NI HIVI!
1. Kitandani 0
2. Matumizi 0
3. Usafi wa mazingira 0
4. Usafi wa binafsi 0
SASA WA NINI HUYU MWANAUME? HERI KUWA MKOBOAJI KULIKO KUJIPENDEKEZA KWA MTU AMBAE NI MZIGO, UPO NAE SABABU ANA JINSIA YA KIUME TU.
mbona kila kitu mnapenda kupewa nyinyi tu?hapo 50/50 iko wapi au ni100/0? na vyakula unachagua kabisa?[emoji15] [emoji134] [emoji134]
atoto mamboMarufuku mwanaume kuja kunilalia kwangu,na hakuna kulala kwangu. agharamike,alaaaaa!!
Ndo wanayoyapenda hayo huli mchicha alieununua unamjua??
Utadhani humo ndani kuna bwawa eti pika samakiyaani bila aibu anatoa maagizo! hajui hao samaki wanaponunuliwa!!!
Kama sio mkwepa kodi atleast analala Mara moja mojaMarufuku mwanaume kuja kunilalia kwangu,na hakuna kulala kwangu. agharamike,alaaaaa!!
atoto mambo
Utadhani humo ndani kuna bwawa eti pika samaki
Kama sio mkwepa kodi atleast analala Mara moja moja