Nampenda mwanaume anayejiongeza

Nampenda mwanaume anayejiongeza

Punguza munkari hela ngumu awamu hii mianya imezibwa.....nawewe jiongeze tu maana ukatiri hauepukiki
 
Huyu naye story zake kama za #monicca tu ngoja nimsubiri kesho ataleta nini.
 
Aisee nampenda sana mwanaume anaependa kujiongeza, anakujali, anakuheshimu, anakupa pesa si kwa malipo ya ngono au starehe mliofanya BIG NO, anaona furaha ukivaa na kupendeza kwa kutumia pesa zake.

Lakini MWANAUME WA AINA HII APITE MBALI NA MIMI:

1. Anapiga simu, "Baby nimekumiss, naomba nije kwako nikusalimie" Akija mikono mitupu, atakuta maskini umepika, unampa ale, aoge, mtiane, akae kwenye tv aangalie mieleka.

2. Vocha natoa mimi
3. Kitanda changu, mashuka, mito n. k
4. Hajatoa pesa ya chakula, lakini anavojua kukandia"bby spendi mchicha, si ungepika samaki" Utadhani kachangia pesa

SHIDA NI HIVI!
1. Kitandani 0
2. Matumizi 0
3. Usafi wa mazingira 0
4. Usafi wa binafsi 0

SASA WA NINI HUYU MWANAUME? HERI KUWA MKOBOAJI KULIKO KUJIPENDEKEZA KWA MTU AMBAE NI MZIGO, UPO NAE SABABU ANA JINSIA YA KIUME TU.
hahahaha...pole sana
 
MLETA MADA HUNA LOLOTE ZAIDI AYA KUELEZEA DESIRE ZAKO KALI JUU YA USAGAJI...ENDELEA NA KAMCHEZO KAKO KA KUSAGA NA KUKOBOA.... MAJIBU UTAYAPATA KITAMBO KIDOGO.
 
special men are yet to be born,,,,,keep on waiting !!!!!
 
tafuta libabu ambalo lilitafuta miaka hiyoooooo saiz lina watoto wakubwa kama wewe ulipe mzigo hz shida zako ni ndogo ila kwa vijana tunaotafuta maisha utatafuta saaana. tena skuizi madingi wanapenda sana watoto kama nyie.
 
Mkoboaji ni sawasawa na msagaji?
But kumbuka, maisha kusaidiana. Leo kakosa but kesho atapata...
 
Endelea tu hivyo hivyo kumpenda tu anaejiongeza
 
Aisee nampenda sana mwanaume anaependa kujiongeza, anakujali, anakuheshimu, anakupa pesa si kwa malipo ya ngono au starehe mliofanya BIG NO, anaona furaha ukivaa na kupendeza kwa kutumia pesa zake.

Lakini MWANAUME WA AINA HII APITE MBALI NA MIMI:

1. Anapiga simu, "Baby nimekumiss, naomba nije kwako nikusalimie" Akija mikono mitupu, atakuta maskini umepika, unampa ale, aoge, mtiane, akae kwenye tv aangalie mieleka.

2. Vocha natoa mimi
3. Kitanda changu, mashuka, mito n. k
4. Hajatoa pesa ya chakula, lakini anavojua kukandia"bby spendi mchicha, si ungepika samaki" Utadhani kachangia pesa

SHIDA NI HIVI!
1. Kitandani 0
2. Matumizi 0
3. Usafi wa mazingira 0
4. Usafi wa binafsi 0

SASA WA NINI HUYU MWANAUME? HERI KUWA MKOBOAJI KULIKO KUJIPENDEKEZA KWA MTU AMBAE NI MZIGO, UPO NAE SABABU ANA JINSIA YA KIUME TU.
Huyo usiyemtaka umempata wapi? au ni mkusanyiko wa wale wote muliokwisha pakatana. Naona unaumba ideal man wako.

Nilishaona ushauri hapa ndani. Wewe chukuwa mwenye minimum qualities unazotaka. Zile anazopungukiwa zitafute huku kwetu akina Patriot.
 
Back
Top Bottom