Nampenda mwanaume anayejiongeza

Nampenda mwanaume anayejiongeza

Wee Dada embu nipe no ya jirani yako nikurushie chochote ukapate japo Kuku umle kama humfahamu. Umekua mhalisia sana.
 
Princess 21 unafanya watu waelewe sasa wako ni nani
 
Aisee nampenda sana mwanaume anaependa kujiongeza, anakujali, anakuheshimu, anakupa pesa si kwa malipo ya ngono au starehe mliofanya BIG NO, anaona furaha ukivaa na kupendeza kwa kutumia pesa zake.

Lakini MWANAUME WA AINA HII APITE MBALI NA MIMI:

1. Anapiga simu, "Baby nimekumiss, naomba nije kwako nikusalimie" Akija mikono mitupu, atakuta maskini umepika, unampa ale, aoge, mtiane, akae kwenye tv aangalie mieleka.

2. Vocha natoa mimi
3. Kitanda changu, mashuka, mito n. k
4. Hajatoa pesa ya chakula, lakini anavojua kukandia"bby spendi mchicha, si ungepika samaki" Utadhani kachangia pesa

SHIDA NI HIVI!
1. Kitandani 0
2. Matumizi 0
3. Usafi wa mazingira 0
4. Usafi wa binafsi 0

SASA WA NINI HUYU MWANAUME? HERI KUWA MKOBOAJI KULIKO KUJIPENDEKEZA KWA MTU AMBAE NI MZIGO, UPO NAE SABABU ANA JINSIA YA KIUME TU.
Aiseee nilipiga mtu kibuti japo alikua anajua kugegeda
 
Aiseee nilipiga mtu kibuti japo alikua anajua kugegeda
Daah sasa umepoteza nbegu imara ya taifa la kesho,yaani hiyo mbegu ungeiwekea na mbolea ya kisamvu cha kopo.yaani tungepata wanaume kama wa mkoa wa Mara ,(sasa unaingia Mkoa wa Mara).
 
Saa zingine wanawake hua mnafanya au mnaandika vitu vinavyofanya mdharaulike sass hapo hivyo vitu usivyovipenda tofauti yake/kinyume chake si ni hicho ambacho wewe unafanyiwa na mwanaume au...?dumbness of the highest degree.
 
WANAUME still wanatoa maana wanayajua majukumu yao, no mater how difficult situation is.
nyie si mnataka usawa ?? mbona unalialia maana yake umeshindwa kujiendesha bila mwanaume
 
Acha uvuvu!
Hata mwanaume anayekupa pesa na kudai mbunye KAJIONGEZA, yaani akupe bure kwako ndo kujiongeza!
 
Wanaume tunabana matumizi baada ya kutumbuliwa na kubanwa sana na magu kwenye kila idara.
Hakuna pesa km kwa mkwere. Madili hakuna,kodi kubwa na ushuru kila kona mpaka kupaki gari,kutumbuliwa majipu na watumishi hewa.
Tunaomba mtuhurumie tunapokula mzigo Bure Mara mojamoja.
 
Back
Top Bottom