Nampenda mwanaume anaevaa miwani

Nampenda mwanaume anaevaa miwani

samua

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2016
Posts
1,029
Reaction score
709
Habari za leo wanajf........hope mko vizuri siku ya leo
hahaha mwenzenu nikiona mwanaume amevaa miwani hasa ile meupe ya wagonjwa macho nachanganyikiwa natamani anifate.....sio siri inawapendeza wanavutia tunabaki kuumia tuu rohoni.....
Ruhusa kunichamba lkn nshasema ukweli wangu
 
There is nothing wrong with that one! Kila shetani na mbuyu wake...

hahaha mwenzenu nikiona mwanaume amevaa miwani hasa ile meupe ya wagonjwa macho nachanganyikiwa natamani anifate.....sio siri inawapendeza wanavutia tunabaki kuumia tuu rohoni.....
Badala ya kukuchamba, nakudediketia wimbo, 'Kaka miwani ninavyokupenda ntakunywa sumu juu yako, siyo siri naumiaaaaa, naumiaaa'...

Ruhusa kunichamba lkn nshasema ukweli wangu
 
Habari za leo wanajf........hope mko vizuri siku ya leo
hahaha mwenzenu nikiona mwanaume amevaa miwani hasa ile meupe ya wagonjwa macho nachanganyikiwa natamani anifate.....sio siri inawapendeza wanavutia tunabaki kuumia tuu rohoni.....
Ruhusa kunichamba lkn nshasema ukweli wangu
cletus_checkers_700.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom