The Winner
Member
- Jul 9, 2011
- 34
- 3
Mambo jf, ninarafiki angu ana boyfrend wake ni mlemavu na wanapendana sana,(kwa maelezo yake lkn)na urafik wao una 2 years mpaka sshv,boy amempa mimba huyu myfrend na anataka achukue jumla ttzo wazazi wa huyu dada hawamtaki huyu kijana eti kisa mlemavu,rafiki angu amechanganyikiwa....! tumshauri jama huyu dada.