Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,227
- 113,584
Wadau kuna dada humu mie nimetokea kumpenda sana. Si upendo wa agape bali ni ule wa kimapenzi kati ya mwanamme na mwanammke.
Kulitaja jina lake naogopa lakini linaanzia na D. Nimechanganyikiwa mdau mwenzenu. Naogopa kupigwa kibuti. Nifanyeje mwenzenu?
Kulitaja jina lake naogopa lakini linaanzia na D. Nimechanganyikiwa mdau mwenzenu. Naogopa kupigwa kibuti. Nifanyeje mwenzenu?