Hahahaa,,, miamala itarudi kwa mremboUnampenda kweli au unampendea Milion zake kadhaa au miamala yake kadhaa anayotuma na kutoa????
hapana, kuna uchumba before ndoa. Urembo wake ni jambo moja je tabia hujaifkilia!!? ndoa si ya mcheso mcheso!!
kiukweli hapana japo ni wakali ila kwa huyu nawasogelea..!!Alafu kingine kabla ya hapo ulishawai kumiliki mtoto mzuri zaidi ya huyo? Ambaye kamzidi huyo kwa kila kitu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa mkuu mana nilikuwa nawaza hapa hizo million 5 mpaka 6 anazitoa wapi inawezekana kuna mtu anamuwezesha au inakuwaje mana si mchezoila kweli, lkn kumbuka kuwa wanawake kama hawa inahitaji kipaji kujitwalia awe wako!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Nampenda, na kuhusu million na mimi nina zangu.. kwan wangap wanazo lakini sijawapenda!!?Unampenda kweli au unampendea Milion zake kadhaa au miamala yake kadhaa anayotuma na kutoa????
kwa mdada kama yule/kwa wadada wa siku hizi kumkuta hana mtu sizani kama inawezekana. na kuhusu kumuelezae hisia hilo ndio hitaji langu kuu, siwezi kuchanganya kazi na mambo binafsi maana ingeshani- cost kitambo.. kuhusu mazingira hapo pagumu sana maana nafungua kazi zangu asubuhi na ninafunga usiku saa6.. siku nayoweza kuwa na mda mpana ni j'mosi ila siku hiyo huitumia kwa ajiri ya ibada pekee..!!
Sent using Jamii Forums mobile app
hapo ndio ujue ukiona shimo jua lazma kuna alie lichimba, shimo haliwezi kujichimba lenyewe!!Kabisa mkuu mana nilikuwa nawaza hapa hizo million 5 mpaka 6 anazitoa wapi inawezekana kuna mtu anamuwezesha au inakuwaje mana si mchezo
Sent using Jamii Forums mobile app
pesa bila mapenzi ni sawa na uwe msomi pasipo ajira, umuhimu wa elimu yako hutauona.. kimsingi vyote vinategemeana!!
kuna wengine unamuita anatumia vitu vya gharama arafu analeta maigizo, japo hua inauma ila hamnaga otherwise!!We mpange, weka mazingira rafiki, utakapoanza mipangi tu atajua kuwa anatakiwa kutongozwa so akikubali miadi basi ujue kuna kauwezekano kikubwa pita mule mule.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yawezekana za kwako zikawa hazimfikii za mdada wa watuNampenda, na kuhusu million na mimi nina zangu.. kwan wangap wanazo lakini sijawapenda!!?
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeona eheeee
mda ukifka hakika atapata 1/10, ya nilicho nacho!!Yawezekana za kwako zikawa hazimfikii za mdada wa watu
Umemshauri vema!!Msifie akija ,kwamba kapendeza au mzuri sana baada ya hapo mwambie kiutaratibu naweza kupata namba yako ,ukichukua namba msalimie na kumtakia Asubuhi,mchana na jioni njema,kisha akisha kuzoea omba mtoke out umueleze ya moyoni
Mzee lazima ufanye investment kwa mrembo, et kwa kuwa anajielewa ndo ufanye ganda la ndizi,, ili umfaidi lazima ugharamie,, ndo hapo tunasema miamala itarudi
Haina haja ya kujiweka juu tofauti na hali yako.kuna wengine unamuita anatumia vitu vya gharama arafu analeta maigizo, japo hua inauma ila hamnaga otherwise!!
Sent using Jamii Forums mobile app