walitola
JF-Expert Member
- Nov 28, 2014
- 4,848
- 5,689
Ni kweli mkuu sema kwa hapo anzisha kwanza urafiki alafu usome upepo kwanza mana si unajua wanawake wa mjini hawani sawa kabisa, tena inabidi uwe na kitu kigeni kwake ambacho kitamsukuma aachane na alie nae ama yy kuwa na cye wote wawili japo baadae ndipo atafanya uchaguzi sahihi ni yupi atamfaa zaidi..!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app