Nampenda lakini nahofia atanichukuliaje?

Nampenda lakini nahofia atanichukuliaje?

Kuna wakati huwa nikikaa pekee yangu natafakari weee, nasema hivi ikitokea siku Mungu akatupa uwezo wa kuona yanayoendelea vichwani mwa mtu tutabaki salama kweli??Unamdanganya mtu na unajua kabisaaa unamdanganya na maskini yake anaamini,yaani basi, babe nakupenda pekee yako unajua jana usiku niliwahi kulala kumbe ulikumbatiwa/umekumbatia mwingine
haya mambo hatari sana.. hakuna mchawi wa mapenzi kwa kweli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio mbaya sana, umejisau ila ni faida kwetu pia,,, tushajua kumbe hakuna cha kuuliza swali hahaha hahahahha,,,

Jamaa yetu najua tayari ameshajiandaa kwa hilo,,, anoe kisu tu kiwe na makali,,

Kama namuona yuko benchi akisubiri jamaa wa mrembo afanye kosa ili jamaa alitumie,,,



Sent using Jamii Forums mobile app
Fanya kosa mwenzako atumie fursa hyo, kutoana upweke
 
Kwa u class sikukatalii kwa kuwa haya mambo hayana formula maalum, kila mtu anafanikiwa kwa njia zake, enzi zangumie nishaangusha mibuyu kede kede kwa kiwembe tuu..

Hapo kwenye class kwan mkuu class yako ni ya chini sana kiasi ukiwa hapo ngumu kumdedisha?

Sent using Jamii Forums mobile app
nipo class ya kawaida japo wengine huweza sema nipo juu.. me najiona bado nipo chini maana bado cjatimiza ndoto zangu nyingi za kimaisha!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usidanganye mkuu,, hiyo biashara ulipata wapi capital?

Sent using Jamii Forums mobile app
kuna simulizi yangu niliitoa kwenye uzi flan hv(jinsi gani nilivyotoka home na kuanza maisha ya ghetto) tafta utapata dondoo ya maisha yangu japo kwa kifupi..!! me sijawahi kukopa pesa kwa mtu ya mtaji wala kuomba msaada kwa ndugu. kama niliumbwa kwa mfano wa mungu basi kila kitu nitafanya kikubwa yeye ndio atanirehemu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom