Bulaya001
JF-Expert Member
- Dec 21, 2018
- 5,868
- 6,480
- Thread starter
- #201
Pesa ni zake ila pampuchi ni yetu wanaume.. tena ikikosa mgegedaji lazima anahaha!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Pesa ni zake ila pampuchi ni yetu wanaume.. tena ikikosa mgegedaji lazima anahaha!!
yaani ni hivi akinyanyuka tu huyo alie nae me nakalia bench lazima nilete mrejesho na ikibidi siku moja atakuja humu kuwasabahi wana JF kwa support yenu kama nikifanikiwa!!Sio mbaya sana, umejisau ila ni faida kwetu pia,,, tushajua kumbe hakuna cha kuuliza swali hahaha hahahahha,,,
Jamaa yetu najua tayari ameshajiandaa kwa hilo,,, anoe kisu tu kiwe na makali,,
Kama namuona yuko benchi akisubiri jamaa wa mrembo afanye kosa ili jamaa alitumie,,,
Sent using Jamii Forums mobile app
me muoga sana kuchukua no za mtu na kumfatilia hadi WhatsApp bila idhini yake, aki-chek walio view status yake na mimi akaniona si nitakoswa yote kwa kuyataka kwa pupa!!?Na si ajabu amesha msevu kwa whatsup anafatilia tu status hahahahah,,
Sent using Jamii Forums mobile app
mtanicheka maana wana JF mnapenda kucheka sana!!Ukifanikisha ulete mrejesho, hata ukikataliwa ww lete tu
yaani ni hivi me naingia vitani pasipo bulletproof!!Mimi naona kijana we jilipue tu amna namna, kama noma na uwe noma
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahaha, powa kaka alafu mjeda kamili huwa havai bulletproof jilipue kamanda mtoto wako uyo
kusema si kazi, tatizo ni jibu litakalo toka, kuna uwezekano wa kumuwekea mtu mil. Wakati katoa buku!!Inawezekana wapendana ila mwanaume anaogopa kumwambia mimi sijawahi kuogopa kumwambia mwanamke nampenda
yaani nikisikia hizi sentence nasikia mwili unanisisimuka, maana kwa jinsi alivyo jaaliwa mtoto wa watu, eti siku moja nimemtanua miguu asee sipati picha!!
asante kwa kunitia moyo!!Hahahahaha, powa kaka alafu mjeda kamili huwa havai bulletproof jilipue kamanda mtoto wako uyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Asijesema Dada I rove youSawa mkuu ila ukienda jitahd kwenye l usiweke r unaweza ukakosa kila kitu
We vipiii kujielewa ndio nn ebu jiamini kama mwanaume
Basi hiyo hiyo inatosha, usifake sanaaaa, kuwa real, kuwa yule bulaya wa kila siku, sababu anakuja kuja mara kwa mara itakuwa kakuona muonekano wako, usmart wako na vingine.. Km hauko smart anza usmart sasa hiv, kikubwa kuwa wewe.nipo class ya kawaida japo wengine huweza sema nipo juu.. me najiona bado nipo chini maana bado cjatimiza ndoto zangu nyingi za kimaisha!!
Sent using Jamii Forums mobile app
just friend tu utamwambiakingine nahofu ya kumwomba no, nahisi kwamba ataaniuliza nataka ya nini..!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuru, jamani kuna tofauti kati ya kuandika na kuzungumza, tambueni hilo!!