Nampenda lakini "Kama vile" hajielewi..

Nampenda lakini "Kama vile" hajielewi..

Daah pole sana Kaka ila mm cjafikia hatua hyo ya kuishi na mwana mama nadan ya nyumba ila kuwa makin sana na hawa wana wake ni wasanii sana kuliko una vyo fikiria pia huyo shemej yetu kagundua kuwa una mpenda ila sawa kaku cheat sa kwann akutie loss ya mamilion ya pesa?
Na hali ya kuwa anajua ww upo masomon na ile kaz ni kwa ajil yenu WASWAHILI hunena ukijua jambo mwanzo bac uta lijua na mwisho na pia hapo ww kinacho fuata ni hyo shem kuua kampun na kuku kimbia maana ata kuwa amesha kurudisha nyuma mweke mbal na biashara yako na tena asi sogelee ili ujue 1 km una umia uumie kwa kupenda kuchapiwa tu wana wake wapo weng tu tena wanao jua nn kupenda na kuthamin

Kwa ushaur tu muweke mbali na biashara ila hlo la kupendana maamuz ni yako pia kumbuka

Kama usha anza kuonja/kula nyama ya Binadamu bac kila siku utataka kula

By Don Me!
 
Habari za muda kama huu, poleni na majukumu ndugu zanguni.
Jamani mkisikia mtu anakwambia kua uyaone basi subiri ukue,...
Naomba niwaeleze mkasa wangu Kama ifuatavyo..
Miaka Kama miwili hivi iliyopita nilifanikiwa kupata mchumba ambaye Kwa muda huo huo nilimchukua kutoka Kwa wazazi wake maana nao hawakuwa na neno ukizingatia heshima niliyonayo ni kubwa sana. Baada ya kuchumchukua huyu mwana dada kulingana na Elimu yake(diploma) nilimpa kazi kwenye kampuni yangu binafsi, awe kama manager,ukizingatia nilikuwa nimeweka mameneja wengine ambao walikuwa wananiibia sana. Siwezi kusimamia management mimi mwenyewe kwani hivi sasa niko Masomoni "mbali" na kazi zangu.
Baada ya huyu dada kuingia kazini Kwa kweli kazi haziendi mbaya zaidi niliambiwa mwanamke Wangu anatembea na mtu pale kazini, kumuuliza mchumba wangu alilia sana akaomba msamaha,ila akasema ni kweli na ilikuwa bahati mbaya kwa sababu ya mazingira halafu "stress" za kazi na akaahidi jambo Kama Hilo hawezi kuja kufanya tena na anaomba msamaha Kwa Mungu wake pia kwani amekomaa sana.
Kwa kweli nilisema nimemsamehe ila deep in my heart napata wasiwasi Kama ameanza hivi na Kama msamaha wake ni kweli au la!!
Nampenda kupita maelezo huyu mwanamke na mpaka sasa ameshanipa hasara hasara kweli, millions of money. Sasa najiuliza nimwache nikubali kuumia tu au niendelee nae perhaps nikimaliza masomo huku niliko tukawa pamoja mambo yatabadilika.
I really really love this woman.
Naomba ushauri please nifanyeje...

LOVE IS A MISS UNDERSTANDING BETWEEN TWO FULLS ( by walter troubish)
 
Naweza kusema ananipenda sana pia. Yuko tayari kwa lolote pia. Huwa nikikasirika kwa sababu yake, yeye ni kulia tu na kusema kama akishindwa kunifurahisha mimi basi Dunia yake yote haina maana.

Ndg yangu piga chini mwanamke hakufai huyo,hayo machozi yake ni sinema tu ili uone umepata mke kumbe hamna lolote,akili kichwani mwako!
 
Kwa taarifa yako hayo mamilioni yaliyopotea yanajenga nyumba ya huyo mume mwenzio ambaye anampenda na ukijarudi anahamia kwa huyo anaye mpenda TAFAKARI CHUKUA HATUA (usinunue bastola) ndio unampenda sana lakini yeye hakupend and love is mutual
 
Hajielewi? Mwenzako anatafuta mtaji....ukishtuka anatambaa na kuanzisha kampuno yake.
 
Majanga yanakuja haya!!!! Ndugu dalili ya mvua ni mawingu!!!! Tafakari chukua Hatua!
 
Habari za muda kama huu, poleni na majukumu ndugu zanguni.
Jamani mkisikia mtu anakwambia kua uyaone basi subiri ukue,...
Naomba niwaeleze mkasa wangu Kama ifuatavyo..
Miaka Kama miwili hivi iliyopita nilifanikiwa kupata mchumba ambaye Kwa muda huo huo nilimchukua kutoka Kwa wazazi wake maana nao hawakuwa na neno ukizingatia heshima niliyonayo ni kubwa sana. Baada ya kuchumchukua huyu mwana dada kulingana na Elimu yake(diploma) nilimpa kazi kwenye kampuni yangu binafsi, awe kama manager,ukizingatia nilikuwa nimeweka mameneja wengine ambao walikuwa wananiibia sana. Siwezi kusimamia management mimi mwenyewe kwani hivi sasa niko Masomoni "mbali" na kazi zangu.
Baada ya huyu dada kuingia kazini Kwa kweli kazi haziendi mbaya zaidi niliambiwa mwanamke Wangu anatembea na mtu pale kazini, kumuuliza mchumba wangu alilia sana akaomba msamaha,ila akasema ni kweli na ilikuwa bahati mbaya kwa sababu ya mazingira halafu "stress" za kazi na akaahidi jambo Kama Hilo hawezi kuja kufanya tena na anaomba msamaha Kwa Mungu wake pia kwani amekomaa sana.
Kwa kweli nilisema nimemsamehe ila deep in my heart napata wasiwasi Kama ameanza hivi na Kama msamaha wake ni kweli au la!!
Nampenda kupita maelezo huyu mwanamke na mpaka sasa ameshanipa hasara hasara kweli, millions of money. Sasa najiuliza nimwache nikubali kuumia tu au niendelee nae perhaps nikimaliza masomo huku niliko tukawa pamoja mambo yatabadilika.
I really really love this woman.
Naomba ushauri please nifanyeje...

Wewe anakupenda kibiashara, na huyo mwanaume mwingine anampenda kimapenzi... Kubaliana tu na hiyo hali, maana mapenzi ni mapenzi... hakuna cha stress...
 
Mapenzi hayana ushauri kijana, umeshasema unampenda afu unataka tukushauri... Basi mwache afu naomba utuandikie namba zake za simu hapa watu tujaribu bahati zetu tena inaonyesha ni bonge la demu
 
Habari za muda kama huu, poleni na majukumu ndugu zanguni.
Jamani mkisikia mtu anakwambia kua uyaone basi subiri ukue,...
Naomba niwaeleze mkasa wangu Kama ifuatavyo..
Miaka Kama miwili hivi iliyopita nilifanikiwa kupata mchumba ambaye Kwa muda huo huo nilimchukua kutoka Kwa wazazi wake maana nao hawakuwa na neno ukizingatia heshima niliyonayo ni kubwa sana. Baada ya kuchumchukua huyu mwana dada kulingana na Elimu yake(diploma) nilimpa kazi kwenye kampuni yangu binafsi, awe kama manager,ukizingatia nilikuwa nimeweka mameneja wengine ambao walikuwa wananiibia sana. Siwezi kusimamia management mimi mwenyewe kwani hivi sasa niko Masomoni "mbali" na kazi zangu.
Baada ya huyu dada kuingia kazini Kwa kweli kazi haziendi mbaya zaidi niliambiwa mwanamke Wangu anatembea na mtu pale kazini, kumuuliza mchumba wangu alilia sana akaomba msamaha,ila akasema ni kweli na ilikuwa bahati mbaya kwa sababu ya mazingira halafu "stress" za kazi na akaahidi jambo Kama Hilo hawezi kuja kufanya tena na anaomba msamaha Kwa Mungu wake pia kwani amekomaa sana.
Kwa kweli nilisema nimemsamehe ila deep in my heart napata wasiwasi Kama ameanza hivi na Kama msamaha wake ni kweli au la!!
Nampenda kupita maelezo huyu mwanamke na mpaka sasa ameshanipa hasara hasara kweli, millions of money. Sasa najiuliza nimwache nikubali kuumia tu au niendelee nae perhaps nikimaliza masomo huku niliko tukawa pamoja mambo yatabadilika.
I really really love this woman.
Naomba ushauri please nifanyeje...

yaani huyo mkimbize vibaya sana na achana nae utakuja kujuta kwani hana nia njema na mafanikio yako shaurilo..
 
kwa kweli huyu mwanamke kama unapenda kuishi nae vizur mweke mbali na biashara yako.Tafuta mtu mwenye sifa awe maneja wa kampuni yako.
 
Mimi naamini mwanamke anayenisaliti ikiwa mimi sijawahi hata kuonesha dalili za kumsaliti basi hanipendi, hanifai, ni janga kwa maisha yangu na ya familia yangu, so kabisa kwa uliyomtendea hauna sababu ya kuendelea kuwa naye...LET PEOPLE DIE FOR THE WRONG THEY DID....UFO SARO NA CHRISTINA ARE ONLY SAMPLE IN OUR COMMUNITY, TAKE CARE WANAWAKE WENGI JAPO WAKE NI WACHACHE LAKINI SIKUSHAURI UENDELEE MBELE
 
Naweza kusema ananipenda sana pia. Yuko tayari kwa lolote pia. Huwa nikikasirika kwa sababu yake, yeye ni kulia tu na kusema kama akishindwa kunifurahisha mimi basi Dunia yake yote haina maana.

Mkuu una umri gani? Wasiwasi wangu bado hujakua kiasi cha kuwajua wanawake vizuri.... Anakupenda sio? Kwa sababu akikukosea analia sana? Endelea kujifariji...
 
Endeleeni kupendana tu mwaya ila tafuta manager umuajiri.
Tenganisha biashara na mapenzi vinginevyo mtabaki mnamiminiana machozi chumbani huku kampuni mmefunga.
 
Mkuu una umri gani? Wasiwasi wangu bado hujakua kiasi cha kuwajua wanawake vizuri.... Anakupenda sio? Kwa sababu akikukosea analia sana? Endelea kujifariji...


Nenda nae chemba mwanaume mwenzio umueleze kinagaubaga kuhusu wanawake, amemsahau Delina alivyodanganya Samson, bila kumsahau Hawa alichomfanyia Adam, wanawake ni werevu sana
 
Wewe anakupenda kibiashara, na huyo mwanaume mwingine anampenda kimapenzi... Kubaliana tu na hiyo hali, maana mapenzi ni mapenzi... hakuna cha stress...

Mbona naona km unaharibu kabisa teh teh teh
 
may be she doesn't feel the same way, sometime mwanamke anaweza kuwa na mwanume kwa kuwa anayafanya maisha yake yawe mazuri katika upande wa pesa anapata kila anachotaka but moyoni kwake haupo by the way wewe huko uliko hujawahi kumcheat?
 
Mkuu kwanza, mi naamini kama umeweza kumanage kufungua kampuni yako inamaana utakua unaijua vizuri principle ya 'SEPARATE ENTITY' Huwezi kumueka mtu akawa manager kisa ni mpenzi wako, hapo lazima ile kwako. Pili, sisi wanawake tukimpenda mtu huwa ni wavumilivu sana, huwezi ukampenda mtu afu at the same time ukacheat na mtu anaemfaham. siusemei moyo lakini ninachokushaur ni kwamba ufunguke. Sometimes you have to use your mind so as to save your heart.
 
Back
Top Bottom