BlackGold_
Member
- May 31, 2013
- 94
- 27
Habari za muda kama huu, poleni na majukumu ndugu zanguni.
Jamani mkisikia mtu anakwambia kua uyaone basi subiri ukue,...
Naomba niwaeleze mkasa wangu Kama ifuatavyo..
Miaka Kama miwili hivi iliyopita nilifanikiwa kupata mchumba ambaye Kwa muda huo huo nilimchukua kutoka Kwa wazazi wake maana nao hawakuwa na neno ukizingatia heshima niliyonayo ni kubwa sana. Baada ya kuchumchukua huyu mwana dada kulingana na Elimu yake(diploma) nilimpa kazi kwenye kampuni yangu binafsi, awe kama manager,ukizingatia nilikuwa nimeweka mameneja wengine ambao walikuwa wananiibia sana. Siwezi kusimamia management mimi mwenyewe kwani hivi sasa niko Masomoni "mbali" na kazi zangu.
Baada ya huyu dada kuingia kazini Kwa kweli kazi haziendi mbaya zaidi niliambiwa mwanamke Wangu anatembea na mtu pale kazini, kumuuliza mchumba wangu alilia sana akaomba msamaha,ila akasema ni kweli na ilikuwa bahati mbaya kwa sababu ya mazingira halafu "stress" za kazi na akaahidi jambo Kama Hilo hawezi kuja kufanya tena na anaomba msamaha Kwa Mungu wake pia kwani amekomaa sana.
Kwa kweli nilisema nimemsamehe ila deep in my heart napata wasiwasi Kama ameanza hivi na Kama msamaha wake ni kweli au la!!
Nampenda kupita maelezo huyu mwanamke na mpaka sasa ameshanipa hasara hasara kweli, millions of money. Sasa najiuliza nimwache nikubali kuumia tu au niendelee nae perhaps nikimaliza masomo huku niliko tukawa pamoja mambo yatabadilika.
I really really love this woman.
Naomba ushauri please nifanyeje...
Jamani mkisikia mtu anakwambia kua uyaone basi subiri ukue,...
Naomba niwaeleze mkasa wangu Kama ifuatavyo..
Miaka Kama miwili hivi iliyopita nilifanikiwa kupata mchumba ambaye Kwa muda huo huo nilimchukua kutoka Kwa wazazi wake maana nao hawakuwa na neno ukizingatia heshima niliyonayo ni kubwa sana. Baada ya kuchumchukua huyu mwana dada kulingana na Elimu yake(diploma) nilimpa kazi kwenye kampuni yangu binafsi, awe kama manager,ukizingatia nilikuwa nimeweka mameneja wengine ambao walikuwa wananiibia sana. Siwezi kusimamia management mimi mwenyewe kwani hivi sasa niko Masomoni "mbali" na kazi zangu.
Baada ya huyu dada kuingia kazini Kwa kweli kazi haziendi mbaya zaidi niliambiwa mwanamke Wangu anatembea na mtu pale kazini, kumuuliza mchumba wangu alilia sana akaomba msamaha,ila akasema ni kweli na ilikuwa bahati mbaya kwa sababu ya mazingira halafu "stress" za kazi na akaahidi jambo Kama Hilo hawezi kuja kufanya tena na anaomba msamaha Kwa Mungu wake pia kwani amekomaa sana.
Kwa kweli nilisema nimemsamehe ila deep in my heart napata wasiwasi Kama ameanza hivi na Kama msamaha wake ni kweli au la!!
Nampenda kupita maelezo huyu mwanamke na mpaka sasa ameshanipa hasara hasara kweli, millions of money. Sasa najiuliza nimwache nikubali kuumia tu au niendelee nae perhaps nikimaliza masomo huku niliko tukawa pamoja mambo yatabadilika.
I really really love this woman.
Naomba ushauri please nifanyeje...