Mimi hapa mwalim!
kaizer ndo CEO wa ashadii amah
wadai...raha ya jamvi virakaviraka!!! .. Naomba kutangaza kwamba nampenda ashadii,ushauri wadau.. manashindwa fanya uamuzi na msimu baridi unaishaa.ushauri tafadharii.!!!
msione anajifaraguaga humu!
hapo uuuuuwih mumuwaaaaacher!
maskini sijui kaenda kununuwa anjifu duka lipi!
wee nafsi yangu unajitaka hujitaki?
kwanza ashadii umemjulia waaaaaaapi?
Sijui kwanini huwaga naamini you are a shy guy
nkuletee kiti ukaepo kidogo?
maji ya kunywa kidogo ?
au castle milk stout kidogo?
simaanish una hofu ila hizo huduma zote za kupoza hasira ujue!
Ramazani isha isha mbona!!wadai...raha ya jamvi virakaviraka!!! .. Naomba kutangaza kwamba nampenda ashadii,ushauri wadau.. manashindwa fanya uamuzi na msimu baridi unaishaa.ushauri tafadharii.!!!
mapenzi humea popote ticha mwacheni ajaribu bahati yake kaizer ana makoloni mengi sana hawezi kusimamia yote lol