Smart911
Platinum Member
- Jan 3, 2014
- 175,945
- 193,990
Kama unampenda kikazi siyo mbaya. Kama unampenda kwa ajili ya upedeleo ni tatizo. Kama unampenda kwa mapenzi, angalia kama hana mtu jaribu bahati yako. Cheo ni dhamana tu, na boss jina tu, mwisho wa siku ni binadamu wa kawaida kama wewe, mwenye matamanio na hisia kama wewe.