Sema na moyo wako mkuu..
mpe number yangu bila shaka unayo
jitahidi tu kumkwepa sio ishu kumvulia pichu boss, baadae maumivu yatakayofata utajuta kumfahamu...acha!!!
unampendaje? just friendly, au kimahaba.....kumbuka ni boss wako huyo.....aidha mpe then acha kazi,,,au komaa kimya kimya....
😀haya very soon atakupigia muongee.
Badili tabia
Unajidanganya..utaendelea kuumia hadi upate ugomjwa wa moyo ufe
.
unampenda mtu halafu unaogopa kumuambia ya moyoni
haha,,ya bosi yashakukutaga nn? Ujambo lkn
I fired my receptionist the past two months. Alionyesha ujinga nikaona nimfukuzie mbali. Mapenzi kazini yanapunguza tija. I hope im not ur boss
okee,,af ht uku kwangu ni mbali eti uje ucheze na uku bac😉😉😉😀
Ngoja nikusaidie: hujampenda boss, umependa hela alizonazo na cheo.. Vumilia akifulia utamchukia hadi utaacha kazi mwenyewe!!
nosspass kumpa noo..nafikiria hayo mawili
mawili yapi? kumpa then uache kazi au kukomaa kimya kimya!!!!
nitakachochagua hakitaathiri utendaji wa kazi.