Nampenda boss wangu nifanyaje anitoke akilini?

Nampenda boss wangu nifanyaje anitoke akilini?

Je,sura yako inalipa???
Tusije tukakushauri vibaya ukapoteza kibarua
na mtaani hata wa kukupa salaam hukuna.
 
We mwanamke mwanaumee???? Kama ni men tupia mistari kami wmen mtege?
 
Nampenda boss wangu nimelificha jambo hili kwa muda mrefu limekuwa likininyima raha.Sihitaji kuwa na mahusiano naye,kadri ninavyomkwepa ndivyo ninavyozidi kuumia. Nifanye nini anitoke?
mwagize mwenzako ukutane na boc akikuelewa mpe mzigo ili upunguze mawazo....ukishindwa nitafute ata mm ni boc kwa ofc
 
N rahis xana muombe Mungu akuondolee tamaa za mwil wako ofis n kaz na c mapenzi umeenda kufanya kazi ukijiingia ktk hayo mambo kazi hazitaenda mtaanza kufanya kila kitu km wapenzi kuwa makin
 
N rahis xana muombe Mungu akuondolee tamaa za mwil wako ofis n kaz na c mapenzi umeenda kufanya kazi ukijiingia ktk hayo mambo kazi hazitaenda mtaanza kufanya kila kitu km wapenzi kuwa makin

ahsante sana
 
kwi kwi kwi..
Serious womanity, mimi ni me ila ki ukweli
kuna sura nyingine za ke hata kama mtu ukawekwa naye sehemu moja siku nzima.
hujisikii kumwambia lolote la kumtania kimapenzi
japo hili ni kwa jinsia zote.
 
Last edited by a moderator:
Serious womanity, mimi ni me ila ki ukweli
kuna sura nyingine za ke hata kama mtu ukawekwa naye sehemu moja siku nzima.
hujisikii kumwambia lolote la kumtania kimapenzi
japo hili ni kwa jinsia zote.

aisee..basi sawa.
 
Last edited by a moderator:
Nampenda boss wangu nimelificha jambo hili kwa muda mrefu limekuwa likininyima raha.Sihitaji kuwa na mahusiano naye,kadri ninavyomkwepa ndivyo ninavyozidi kuumia. Nifanye nini anitoke?
tatizo sihitaji mahusiano kwa sasa..
jaman mimi sitagi mtega..nataka anitoke tu

Unaanzaje kumpenda mtu that much na kutokutaka kuwa naye? Why torture yourself?

Personally sidhani kama itakuwa rahisi kuacha kumpenda na kuendelea kuwa naye hapo....inahitaji roho ngumu kidogo
 
Back
Top Bottom