Nampenda boss wangu..nimelificha jambo hili kwa muda mrefu limekuwa likininyima raha..
Sihitaji kuwa na mahusiano naye,kadri ninavyomkwepa ndivyo ninavyozidi kuumia..nifanye nini anitoke
I fired my receptionist the past two months. Alionyesha ujinga nikaona nimfukuzie mbali. Mapenzi kazini yanapunguza tija. I hope im not ur boss
Wala ila napenda mtu awe serious. Sipendi kabisa kuwa na mahursiano ya mapenzi na wafanyakazi wangu kwani ndiyo mwanzo wa dharau na uzembe. Mifano tunaionaBoss una roho mbaya wewe
duh kwel Roho mbaya wewe.
Unajua kuwa kuna tofauti kati ya kupenda na kuwa na nyegge?
Hujatuambia kama boss wako ana mke au laa,na pia kama wewe una mume au laa, kama wote mpo single na unampenda sasa si unamwambia tu???
Funguka tuu...love is a democracy .....[/QUOTE
love is democracy!!!nimeipenda
Just assume ana ngoma itakusaidia
Sema na moyo wako mkuu..Nampenda boss wangu nimelificha jambo hili kwa muda mrefu limekuwa likininyima raha.Sihitaji kuwa na mahusiano naye,kadri ninavyomkwepa ndivyo ninavyozidi kuumia nifanye nini anitoke.
Unampenda au unapenda hela zake?
tatizo sihitaji mahusiano kwa sasa..
Aaah... mama kesho hakikisha unanikabidhi funguo za ofisi yangu na mafaili yote tilia mezani tutaonana siku ukikiri upendo wako kwangu.... sawa mama eeh