Nampenda boss wangu nifanyaje anitoke akilini?

Nampenda boss wangu nifanyaje anitoke akilini?

Je boss wako ana mke ?km hana mke kwann uumie moyo wako usimweleze ya moyon unabaki unaumia ?ilaa km ana familia yk ww kaa kimya usimwambie KBS atatelekeza familia yk bure au akutumie km chombo cha starehe kisha atakua.akili kumkichwa
 
Nampenda boss wangu..nimelificha jambo hili kwa muda mrefu limekuwa likininyima raha..

Sihitaji kuwa na mahusiano naye,kadri ninavyomkwepa ndivyo ninavyozidi kuumia..nifanye nini anitoke
I fired my receptionist the past two months. Alionyesha ujinga nikaona nimfukuzie mbali. Mapenzi kazini yanapunguza tija. I hope im not ur boss
 
Upweke huo , hebu pata mtu akupe company uone kama utamkumbuka hiyo the boss wako
 
Nampenda boss wangu..nimelificha jambo hili kwa muda mrefu limekuwa likininyima raha..

Sihitaji kuwa na mahusiano naye,kadri ninavyomkwepa ndivyo ninavyozidi kuumia..nifanye nini anitoke

siku zote ulikuwa umemficha nani?! Muoneshe ishara za kumpenda halafu yeye atafanya maamuzi lakini kama hajaoa, kama ameoa katafute kwingine kwani kuharibu maisha ya ndoa ya mtu ni ushetani wa hali ya juu.

Halafu nani alimkuta mwenzie kazini? Au ndio mbinu za kutaka favour!!!
 
Nampenda boss wangu..nimelificha jambo hili kwa muda mrefu limekuwa likininyima raha..

Sihitaji kuwa na mahusiano naye,kadri ninavyomkwepa ndivyo ninavyozidi kuumia..nifanye nini anitoke

Sasa boss wako si atakuwa na mkewe?.Acha kuchepuka ;tafuta na utulie na wa kwaki
 
Back
Top Bottom