Nampenda binamu yangu sana hasa kimapenzi?

Nampenda binamu yangu sana hasa kimapenzi?

Nbaa, umegewa namba ili ukubaliane nae na ndoa ifungwe Sasa Wewe eti ufanyeje...? Nipe namba yake...
 
mh! asa mpaka mmefikia hatua ya kutumiana picha za uchi, si ina maana mna interest moja ya kugegedana?unataka ushauri gani wakati mazingira mliyowekeana yanaonesha dhahir kuwa mnataka kugegedana! endeleeni tu

Dada hiyo picha ni yako?maana dah! Kwanza shikamoo.
 
Bwana mdogo, kimbia laana ya ulemavu,maradhi,na umaskini kwa kufanya tendo la ndoa na nduguyo kwa mujibu wa Biblia.
 
Ni takribani miaka 10 baada ya kutoonana na mtoto wa shangazi my cousin wa kike, ghafla napewa namba yake na kuanza mawasliano na kunitumia picha zake jinsi alivyo kuwa na hata zingine akiwa naked.

Ofcourse ni mzuri sana wana JF ila nashindwa kuhusiana nae kimapenzi japo ananishawishi tufanye hivyo, nifanye nini kwa hali kama hii?

Naona kuna mushkila wa lugha. neno ni la kiarabu, ukisema bin ni mtoto wa kiume wa kike bint.
 
Toba mwanaume anajisifu....kuna kitu hakipo sawa!
 
Wewe umeshindwa kujua ufanye nini, sisi tukwambie ufanye nin kimpango gani
 
Back
Top Bottom