unaweza ...........lakini mie hata sifagilii sanaa nahisi zogo tuu ndani ya familia ....kwetu wameowana sana mama mkubwa kwa mama mdogo,mtoto wa shangazi na wa mjomba,mtoto wa baba mkubwa kwa baba mdogo,kwetu mimi na brother wangu wa mwisho ndio hatukutaka wengine wote....Kwani Islam wanaruhusu kuwowa binamu? Nilikuwa sijui hilo
Ni takribani miaka 10 baada ya kutoonana na mtoto wa shangazi my cousin wa kike, ghafla napewa namba yake na kuanza mawasliano na kunitumia picha zake jinsi alivyo kuwa na hata zingine akiwa naked.
Ofcourse ni mzuri sana wana JF ila nashindwa kuhusiana nae kimapenzi japo ananishawishi tufanye hivyo, nifanye nini kwa hali kama hii?
Ni takribani miaka 10 baada ya kutoonana na mtoto wa shangazi my cousin wa kike, ghafla napewa namba yake na kuanza mawasliano na kunitumia picha zake jinsi alivyo kuwa na hata zingine akiwa naked.
Ofcourse ni mzuri sana wana JF ila nashindwa kuhusiana nae kimapenzi japo ananishawishi tufanye hivyo, nifanye nini kwa hali kama hii?
Mpk xkul zirejee kwenye ratiba tutakomaaa.... humu.. from no wea aanze tuu kukutumia mapicha mpk ya uchi...???? Aaah ngoja nikanywe thupu miee baridi leo imenishka
unaweza ...........lakini mie hata sifagilii sanaa nahisi zogo tuu ndani ya familia ....kwetu wameowana sana mama mkubwa kwa mama mdogo,mtoto wa shangazi na wa mjomba,mtoto wa baba mkubwa kwa baba mdogo,kwetu mimi na brother wangu wa mwisho ndio hatukutaka wengine wote....
Ni takribani miaka 10 baada ya kutoonana na mtoto wa shangazi my cousin wa kike, ghafla napewa namba yake na kuanza mawasliano na kunitumia picha zake jinsi alivyo kuwa na hata zingine akiwa naked.
Ofcourse ni mzuri sana wana JF ila nashindwa kuhusiana nae kimapenzi japo ananishawishi tufanye hivyo, nifanye nini kwa hali kama hii?
Wahindi ndio nasikia kwako lakini Warabu pia sana wana oa kama hivyo....Du hizo kitu huwa nazisikia kwa wahindi lakini kwa wabongoland ndiyo mara ya kwanza kusikia, ambacho nilisikia ni kwamba watu wanajisevia mabinamu kwa kificho ila si kuweka ndani kabisa
Ni takribani miaka 10 baada ya kutoonana na mtoto wa shangazi my cousin wa kike, ghafla napewa namba yake na kuanza mawasliano na kunitumia picha zake jinsi alivyo kuwa na hata zingine akiwa naked.
Ofcourse ni mzuri sana wana JF ila nashindwa kuhusiana nae kimapenzi japo ananishawishi tufanye hivyo, nifanye nini kwa hali kama hii?
Hata ukiziona pic za utupu za dada yako utamtamani..... hovyooooooooo