tinna cute
JF-Expert Member
- Sep 22, 2013
- 4,630
- 2,315
Na ww mtumie picha zako aone uchi wako kabla ya mpambano
Ni takriba miaka 10 baada ya kutoonana na mtoto wa shangazi my cousin wa kike,gafla napewa namba yake na kuanza mawasliano na kunitumia picha zake jinsi alivyo kuwa na hata zingine akiwa naked,ofcourse ni mzuri sana wana JF ila nashndwa kuhusiana nae kimapenzi japo ananishawishi tufanye hivyo,nifanye nini kwa hali kama hii?
Umesema ni mtoto wa shangazi sijui dini gani lakini kama Islam unaweza kumuoa sasa baada ya kuonja onja bora umuoe kama dini ina ruhusu,la sivyo basi tafuta wengine huyo nimdowako...........mlinde kwa macho yako yote......
Kemea haraka hilo pepo la ngono, huwaoni wengine zaidi ya cousin yako?
Humpendi ila umemtaman halaf hizo.naked pics ndo zilizokuchengua au nyote bado.watoto mkikua mtaacha na.huyo alikutumia picha zake akiwa naked hajajua thaman.yake siku akijua atakua kishachelewa sana na.halaf imagine ww umetumiwa picha hizo.chaf jua wapo wengine aliowatumia hivohivo shame!!
Haswa Mama FB umenena. I love you dear. Ni kuwaombea tuu pepo or shetani liwatoke . Thanks!
Ni takriba miaka 10 baada ya kutoonana na mtoto wa shangazi my cousin wa kike,gafla napewa namba yake na kuanza mawasliano na kunitumia picha zake jinsi alivyo kuwa na hata zingine akiwa naked,ofcourse ni mzuri sana wana JF ila nashndwa kuhusiana nae kimapenzi japo ananishawishi tufanye hivyo,nifanye nini kwa hali kama hii?
inaelekea unamfahamu vilivyo mtoa mada
kama ninavyokufahamu wewe
Owh i love u too and i miss u so.much
Unanifahamu vp tuanzie hapo kwanza
haswaa amen. Honestly ilishawahi kunitokea na mimi hii issue , mama yangu alikuwa anapenda sana sana kaka yangu mtoto wa mjomba wangu aje kuwa mume wangu baadae. Kwa sababu ya maadili yake . Mama yangu na mjomba wangu ni mama mdogo na mkubwa .kuna kipindi na yeye cousin aka brother wangu alikuwa hakuweza kuficha tena siri akaniambia anavyojisikia . Hatukuweza kuwa pamoja , kabisa . So ni kweli sometimes ni pepo , huyo . But kama dini zenu zinaruhusu kiimani , basi badala ya ku date nakupotezeana muda ni bora muoane , but to me honestly is yuck, yuck god forbid . Ila ishawahi kutokea hiyo issue kwa upande baba yangu , na wakafunga ndoa , kwa sababu iman zao ziliruhusu ila kitu kimoja ndoa za namna hii huwa zinakuwa na migogoro sana kuliko za kawaida , mungu atusaidie kwa kweli.