Nampenda binamu yangu sana hasa kimapenzi?

Nampenda binamu yangu sana hasa kimapenzi?

koh koh clearing throat,niushamba na ulimbukeni,alafu unakuta mtu anajifotoa mipicha akiwa naked huyo mwili sasa kama mbavu za sungura,nakwanza ukimtumia unapata faida gani zaidi yakujizaliliza nakujishusha thamani agah,kuna rafiki yangu mmoja ivi yaani kawapiga picha mademu zake wako na vyupi na bra jamani jamani mapenz haya mmmmh
Ahha ila hili suala la kutumiana picha mko naked limekaaje yaan.unaanzaje kujifotoa umtumie prince charming kwa msingi upi iweje halaf lol wanawake ndo mana hatuthaminiki kila.siku thaman yetu inashuka kwa mambo.ya kijinga tu
 
nimekuwa mzito kuamini by the way na wew mtumie naked picha kumkomoa!
 
me kuna mmoja aliwah nitumia picha za girl wake ambae wameshagombana akiwa naked huwez amini nilishangaa nikamuliza unanitumia nifanyaje unanidhalilisha mimi nakuomba tena usirudie picha za hivi kunitumia eti nataka nimkomeshe nikase bas kazi ipo ila ni kutojitambua mama ukiwa unajitambua na kujiheshimu hakuna wa kukuvunjia heshima
koh koh clearing throat,niushamba na ulimbukeni,alafu unakuta mtu anajifotoa mipicha akiwa naked huyo mwili sasa kama mbavu za sungura,nakwanza ukimtumia unapata faida gani zaidi yakujizaliliza nakujishusha thamani agah,kuna rafiki yangu mmoja ivi yaani kawapiga picha mademu zake wako na vyupi na bra jamani jamani mapenz haya mmmmh
 
mwisho wasiku wasingizia niliibiwa simu teh teh zikasambazwa mtandaoni,
me kuna mmoja aliwah nitumia picha za girl wake ambae wameshagombana akiwa naked huwez amini nilishangaa nikamuliza unanitumia nifanyaje unanidhalilisha mimi nakuomba tena usirudie picha za hivi kunitumia eti nataka nimkomeshe nikase bas kazi ipo ila ni kutojitambua mama ukiwa unajitambua na kujiheshimu hakuna wa kukuvunjia heshima
 
Ni takriba miaka 10 baada ya kutoonana na mtoto wa shangazi my cousin wa kike,gafla napewa namba yake na kuanza mawasliano na kunitumia picha zake jinsi alivyo kuwa na hata zingine akiwa naked,ofcourse ni mzuri sana wana JF ila nashndwa kuhusiana nae kimapenzi japo ananishawishi tufanye hivyo,nifanye nini kwa hali kama hii?

Kwetu binamu yako ni halali yako, nakushangaa unasuasua!
 
Mlipizie na ww kumtumia picha tena ww kaa na mikao ya kiprofesheni kabisaaa
 
Humpendi ila umemtaman halaf hizo.naked pics ndo zilizokuchengua au nyote bado.watoto mkikua mtaacha na.huyo alikutumia picha zake akiwa naked hajajua thaman.yake siku akijua atakua kishachelewa sana na.halaf imagine ww umetumiwa picha hizo.chaf jua wapo wengine aliowatumia hivohivo shame!!

hvi mamafacebook una miaka mingap?
Unaongea point mpaka naanza kukupenda buree
 
Last edited by a moderator:
Ni takriba miaka 10 baada ya kutoonana na mtoto wa shangazi my cousin wa kike,gafla napewa namba yake na kuanza mawasliano na kunitumia picha zake jinsi alivyo kuwa na hata zingine akiwa naked,ofcourse ni mzuri sana wana JF ila nashndwa kuhusiana nae kimapenzi japo ananishawishi tufanye hivyo,nifanye nini kwa hali kama hii?

mkanyage mkuu bahat haij mara mbil
 
Km kaka yake anakutumia picha za uchi basi usiku tembelea Kimboka au Corner bar utamkuta huko.
 
Wewe kweli mwaminifu. Endelea na uaminifu. Kuhusu mawasiliano na picha zake za utupu acha mambo hayo na mwambie hupendezwi. Kama akiendelea njoo umsemelee kwangu. Sawa?
 
Back
Top Bottom