Namna ya kuweka Xposed Framework kwenye simu

poposindege

JF-Expert Member
Nov 22, 2010
453
175
Habari wadau wa Jukwaa la Teknolojia.

Nina simu ya Samsung Galaxy Note 3 Neo (SM-750L) ambayo nimeiroot kwa muda mrefu tu lakini sasa nataka kuweka Xposed Framework.

Kwanza sijajua namna ya kuweka hiyo kitu. Nimejaribu kupitia Tutorial kadhaa nimeshindwa kuelewa vizuri.

Kuna njia moja nimeona ni lazima kwanza uweke CWM au TWRP kwenye simu yako.
Hapo kwenye CWM/TWRP nimejaribu kutafuta yenye kuendana na simu yangu nimekosa.

Sehemu nyingine nimeona unaistall tu hiyo Xposed Framework na kuanza kuifanyia kazi. Njia hii nimejaribu hakuna badiliko lolte nililopata.

Kwa wenye ujuzi naomba mmnielekeze kufanikisha zoezi hilo.
Natanguliza shukrani zangu.

cc Chief-Mkwawa
 
Sim yako ina android version ngap?

Njia ya ukakika kwa android kuanzia 5 kuja juu ni lazma uwe na custom recovery (twrp au cwm) kisha unaflash zip ya framework inayoendana na architecture ya device yako.
 
Ni Android 5.1.1
Ndio natafuta hiyo TWRP/CWM inayoendana na simu yangu.
Nisaidie mkuu
Sim yako ina android version ngap?

Njia ya ukakika kwa android kuanzia 5 kuja juu ni lazma uwe na custom recovery (twrp au cwm) kisha unaflash zip ya framework inayoendana na architecture ya device yako.
 
Hiyo simu support haina kabisa...ndiomana tunasisitiza internatinal version.

Kwan unataka kufanya nini na hyo xposed?
 
Mkuu vyote tayari ila hizi file ni ndogo sana.
Je ni kawaida angalia
twrp.JPG
hiyo picha panaotaka kudownload hiyo TWRP.



Download sasa hyo twrp pale ya 750

Download na odin

Pia install samsung drivers kweny pc yako kama hukua nazo..

Kisha rudi tuendelee
 
tayari mkuu
Enable usb debbuging nafkir unajua hii

Then run odin kweny pc yako,ingiza sim kweny download mode na uchomeke sim yako..

Kuna kibox cha kwanza karibu na ID Com pale kweny odin kitakua cha blue bahar..maana yake sim imeonekana..kisipo change colour bas hakikisha drivers zipo sawa

Click AP kweny odin kisha load twrp yako ilipo...iweke kweny desktop iwe rahis

Ukisha load twrp click start..wait had ikwambie Pass ,sim itawaka...ikiwaka izime jarbu kuingia kweny recovery mode..kama umefanikiwa bas twrp itakuja.

Mpaka hapo ukifka bas rud tena hapa.
 
Asante mkuu.
Naona kama kuna tatizo katika faili.
Nimedownload ulilonielekeza ni la zip file.
Je ni extract au ?
Niki extract napata faili linakuwa recovery na huwa silioni nikitaka kuliweka kupitia AP, lakini likiwa kwenye zip naliona

Poleee ndio shida yake hyo kukosa international..au atleast ungepata zile za marekan kdgo sio mbaya
Poleee ndio shida yake hyo kukosa international..au atleast ungepata zile za marekan kdgo sio mbaya
 
Asante mkuu.
Naona kama kuna tatizo katika faili.
Nimedownload ulilonielekeza ni la zip file.
Je ni extract au ?
Niki extract napata faili linakuwa recovery na huwa silioni nikitaka kuliweka kupitia AP, lakini likiwa kwenye zip naliona
Weka zip hyo hyo
 
Back
Top Bottom