Dkt Guston
Senior Member
- Feb 28, 2022
- 105
- 110
Habari Wana Tech
Kuna start up yangu nimeanzisha nahitaji kwa mtu anayejua namna ya kuweka hizi (voda,tigo, Airtel,HALOPESA as gateway) Kama njia ya malipo kwenye website , sababu WordPress Kuna Plugin za PayPal na stripe ambapo kwa paypal waTanzania wengi hawana
Nahitaji kutumia njia hizi affordable kwa kila mtanzania awe na access ya kulipia Kupitia simu yake tu kawaida (nasoma comment zenu).
Kuna start up yangu nimeanzisha nahitaji kwa mtu anayejua namna ya kuweka hizi (voda,tigo, Airtel,HALOPESA as gateway) Kama njia ya malipo kwenye website , sababu WordPress Kuna Plugin za PayPal na stripe ambapo kwa paypal waTanzania wengi hawana
Nahitaji kutumia njia hizi affordable kwa kila mtanzania awe na access ya kulipia Kupitia simu yake tu kawaida (nasoma comment zenu).