N Nkondo 2 Senior Member Joined Oct 10, 2016 Posts 187 Reaction score 153 Aug 3, 2026 #1 Wakuu naomba msaada wa hatua za kuchukua kuuza hati fungani ya BOT, nimepatwa na dharula ninahitaji pesa niloiwekeza huko inisaidie.
Wakuu naomba msaada wa hatua za kuchukua kuuza hati fungani ya BOT, nimepatwa na dharula ninahitaji pesa niloiwekeza huko inisaidie.
B Bush Dokta JF-Expert Member Joined Apr 11, 2023 Posts 40,529 Reaction score 69,444 Aug 3, 2026 #2 Nkondo 2 said: Wakuu naomba msaada wa hatua za kuchukua kuuza hati fungani ya BOT, nimepatwa na dharula ninahitaji pesa niloiwekeza huko inisaidie. Click to expand... Huko ulikozinunua wakuongoze
Nkondo 2 said: Wakuu naomba msaada wa hatua za kuchukua kuuza hati fungani ya BOT, nimepatwa na dharula ninahitaji pesa niloiwekeza huko inisaidie. Click to expand... Huko ulikozinunua wakuongoze
Chivundu Platinum Member Joined Dec 17, 2012 Posts 13,041 Reaction score 26,145 Aug 3, 2026 #3 Kwa kuwa hazijakomaa, tafuta wakala aliesajiliwa DSE akisaidie kuuza Bonds, au waone CRDB Capital. Watakusaidia, pole sana kwa changamoto. Japo jiandae kupewa bei "price tag" ya kukubana.
Kwa kuwa hazijakomaa, tafuta wakala aliesajiliwa DSE akisaidie kuuza Bonds, au waone CRDB Capital. Watakusaidia, pole sana kwa changamoto. Japo jiandae kupewa bei "price tag" ya kukubana.
wajingawatu JF-Expert Member Joined Jan 20, 2013 Posts 2,434 Reaction score 3,108 Aug 3, 2026 #4 Nkondo 2 said: Wakuu naomba msaada wa hatua za kuchukua kuuza hati fungani ya BOT, nimepatwa na dharula ninahitaji pesa niloiwekeza huko inisaidie. Click to expand... Nitazinunua. Uliweka ya muda gani?
Nkondo 2 said: Wakuu naomba msaada wa hatua za kuchukua kuuza hati fungani ya BOT, nimepatwa na dharula ninahitaji pesa niloiwekeza huko inisaidie. Click to expand... Nitazinunua. Uliweka ya muda gani?
BEZO JR Platinum Member Joined Jul 15, 2023 Posts 3,273 Reaction score 8,473 Aug 3, 2026 #5 Nkondo 2 said: Wakuu naomba msaada wa hatua za kuchukua kuuza hati fungani ya BOT, nimepatwa na dharula ninahitaji pesa niloiwekeza huko inisaidie. Click to expand... Mkuu,si ungezichukulia tu hata mkopo bank? Then ile faida ya kila baada ya miezi 6 wao watakuwa wanakulipia deni lako.
Nkondo 2 said: Wakuu naomba msaada wa hatua za kuchukua kuuza hati fungani ya BOT, nimepatwa na dharula ninahitaji pesa niloiwekeza huko inisaidie. Click to expand... Mkuu,si ungezichukulia tu hata mkopo bank? Then ile faida ya kila baada ya miezi 6 wao watakuwa wanakulipia deni lako.
Ihayabuyaga JF-Expert Member Joined Aug 22, 2011 Posts 499 Reaction score 549 Aug 3, 2026 #6 Kachukue mkopo bank kwa kutumia hiyo certificate ya bonds
AlexProsper JF-Expert Member Joined Jul 1, 2022 Posts 3,414 Reaction score 6,285 Aug 8, 2026 #7 wanatoa asilimia ngapi ya mkopo
S Soulja boy JF-Expert Member Joined Oct 3, 2015 Posts 4,787 Reaction score 8,382 Aug 12, 2026 #8 AlexProsper said: wanatoa asilimia ngapi ya mkopo Click to expand... Kama 60%