Namna ya kutumia Water Guard

Albedo

JF-Expert Member
Feb 24, 2008
5,559
1,452
Wadau naomba kwa anayejua namna ya ku treat maji ya Mvua yasiharibike. Natarajia kuvuna maelfu ya Litter za maji ys mvua but si mtaalam wa kutreat. Kuna mtu ameniambia nitumie Water Guard. Nimenunua water bt haina maelezo ya kujitosheleza. Wazoevu naombeni msaada.
 
Wadau naomba kwa anayejua namna ya ku treat maji ya Mvua yasiharibike. Natarajia kuvuna maelfu ya Litter za maji ys mvua but si mtaalam wa kutreat. Kuna mtu ameniambia nitumie Water Guard. Nimenunua water bt haina maelezo ya kujitosheleza. Wazoevu naombeni msaada.

Kawaida Lt 20 za maji ya bomba unatakiwa kuweka kidonge kimoja kama ni ya maji unaweka kifuniko kimoja cha chupa ile ya water guard. Na kama maji ni ya kisima, ziwa, bahari, mto au kwingineko, maji hayo utalazimika kuweka vidonge viwili vya water guard kwa kila Lt20 za maji, na kama unatumia water guard ya maji utaweka vifuniko viwili kwa kila Lt20 za maji. Sasa piga mahesabu utavuna lita ngapi kisha zidisha kwa kiwango hicho.
 
Kawaida Lt 20 za maji ya bomba unatakiwa kuweka kidonge kimoja kama ni ya maji unaweka kifuniko kimoja cha chupa ile ya water guard. Na kama maji ni ya kisima, ziwa, bahari, mto au kwingineko, maji hayo utalazimika kuweka vidonge viwili vya water guard kwa kila Lt20 za maji, na kama unatumia water guard ya maji utaweka vifuniko viwili kwa kila Lt20 za maji. Sasa piga mahesabu utavuna lita ngapi kisha zidisha kwa kiwango hicho.

Asante sana Miwatamu

Nina Mpango wa kuvuna 50,000 Litters of water.

20 Litres = Vifuniko 2
50,000 Litres = Vifuniko 5000

Nataka kujua chupa moja ya Water Guard Ina Vufuniko Vingapi ili bada ya kuhesabu vifuniko 5000 nimimie chupa kadhaa Sasa chupa ya Water Guard haineshi Volume yake wala hicho kifuniko hawaja state volume yake. But elimu yako imenisaidia hasa kufahamu kwamba kumbe kuna vidonge I have to buy 2500 Tablets Dah!
 
Back
Top Bottom