Mr salim karatta
New Member
- Mar 16, 2023
- 3
- 0
Habari, naomba kujifunza namna ya kuomba tender zinazo tangazwa na ukurasa wa Zabuni.
Maelezo yako siyo timilifu, kama una kampuni na unataka tender za serikali kajisajiri kwanza GPSA.Habari, naomba kujifunza namna ya kuomba tender zinazo tangazwa na ukurasa wa Zabuni.
Rahisi mno niuze kazi twende sawa mkuuHabari, naomba kujifunza namna ya kuomba tender zinazo tangazwa na ukurasa wa Zabuni.