Namna ya kuokoa CHADEMA isife...

Kitendo cha kupungua idadi ya wabunge mpaka kufikia 15 ni chama kuimarika?

..kura za upinzani zimekua zikiongezeka ktk kila uchaguzi mkuu.

..vyama vya upinzani vinapanda na kushuka.

..Lakini hamu ya mabadiliko na mageuzi nchini imekuwa ikipanda kila uchaguzi mkuu.

..ila tangu vyama vingi virudishwe sijawahi kuona ccm na dola wakipambana na upinzani kwa mabavu na ukatili kama awamu hii.

..hivyo huenda ukatili na mabavu ya ccm na dola unaweza kuzima ndoto ya mabadiliko nchini ktk uchaguzi unaokuja.
 
..kura za upinzani zimekua zikiongezeka ktk kila uchaguzi mkuu.

..vyama vya upinzani vinapanda na kushuka.

..Lakini hamu ya mabadiliko na mageuzi nchini imekuwa ikipanda kila uchaguzi mkuu.

..ila tangu vyama vingi virudishwe sijawahi kuona ccm na dola wakipambana na upinzani kwa mabavu na ukatili kama awamu hii.

..hivyo huenda ukatili na mabavu ya ccm na dola unaweza kuzima ndoto ya mabadiliko nchini ktk uchaguzi unaokuja.
Poleni saccos inakufa October 2020!
 
Habari wakuu

Hapo jana nilipoyaona majina ya wabunge wa CHADEMA waliokuwa wamegomea vikao vya bunge kutolewa na spika akiwataka wakapimwe covid19 ndio waruhusiwe kurudi tena bungeni nilishtuka na kustaajabu kidogo kwa namba ya wabunge wa chama hiki kuwa kwa uchache kipindi hiki

itakumbukwa baada ya uchaguzi wa 2015 chadema kilikuwa na zaidi ya wabunge 60 ndani ya bunge la jamhuri lenye viti zaidi ya 390

hii namba kwa muda wa miaka minne tu imeporoka sio kushuka kwa kasi kasi kubwa
kwa chama kilicho na nia ya kushika dola ilitakiwa kiwe kinajiimarisha sasa kuelekea uchaguzi mkuu hapo October na sio kupukutishwa kwa kupungzwa namba ya wabunge wake

kwa muono wangu hili ni anguko kubwa lazima tukubali chadema kuna sehemu kinafeli na hii ni ishara kwamba chama hiki kinakufa taratibu kama si haraka
OK hata uchumi umeanguka 2015 uchumi ulikuwa 7% Leo uko 2.2% hill unalionaje? Mkuu
 
Habari wakuu

Hapo jana nilipoyaona majina ya wabunge wa CHADEMA waliokuwa wamegomea vikao vya bunge kutolewa na spika akiwataka wakapimwe covid19 ndio waruhusiwe kurudi tena bungeni nilishtuka na kustaajabu kidogo kwa namba ya wabunge wa chama hiki kuwa kwa uchache kipindi hiki

itakumbukwa baada ya uchaguzi wa 2015 chadema kilikuwa na zaidi ya wabunge 60 ndani ya bunge la jamhuri lenye viti zaidi ya 390

hii namba kwa muda wa miaka minne tu imeporoka sio kushuka kwa kasi kasi kubwa
kwa chama kilicho na nia ya kushika dola ilitakiwa kiwe kinajiimarisha sasa kuelekea uchaguzi mkuu hapo October na sio kupukutishwa kwa kupungzwa namba ya wabunge wake

kwa muono wangu hili ni anguko kubwa lazima tukubali chadema kuna sehemu kinafeli na hii ni ishara kwamba chama hiki kinakufa taratibu kama si haraka
Tupe na idadi ya wanachama na wafuasi...
 
Hiyo ni ishara kwamba CHADEMA ni chama kisichojua kulamba matak0 ya watu. Ukizingua unasepa hakuna wa kukubembeleza. Na hiyo ndo namna chama kinatakiwa kuwa.
 
Hizo takwimu mnazitoa wapi?

..tatizo ni VIJANA waliokua wakati wa mfumo wa VYAMA VINGI.

..hao ni tofauti na WAHENGA waliokulia wakati wa Ujamaa / Ukomunisti na mfumo wa chama kimoja.

..CCM inatakiwa ijifunze kuishi na vyama vingine, badala ya kutumia UKANDAMIZAJI kufifisha vyama vingine.
 
Back
Top Bottom