kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 20,142
- 24,432
Ya nini huko kuna tume huru na bado mahakama zinatengua matokeo,huko america mpaka kura zilihesabiwa kwa mikono lakini mpinzani hakushinda sasa hapa kwetu ya nini nayo hii iliyopo ni huru!CCM ni ushindi wa asilmia 100 tu.Kama enzi za Sadam.Na hatutak tume huru ya uchaguz
