Bavarian8
JF-Expert Member
- Oct 20, 2018
- 656
- 1,433
Wadau nataka ushauri hapa wa kina ,,Nina mtaji hapa kama million 3 nataka niwekeze kwenye huduma za fedha yaani mpesa ,tigo pesa ,airtel money nk sasa je itanitoa kwl na location yangu n maeneo ya mwenge pale mpakani nachohitaji ni
1 namna ya kuanza vitu vinavyohitajika
2 faida na hasara kwa mwezi
3 usimamizi n mm mwenyewe hyo haina shaka
Nishauri hapo chini tafadhali
Sent using Jamii Forums mobile app
1 namna ya kuanza vitu vinavyohitajika
2 faida na hasara kwa mwezi
3 usimamizi n mm mwenyewe hyo haina shaka
Nishauri hapo chini tafadhali
Sent using Jamii Forums mobile app