weeee.....mtu anirecord aone......
Naomba waiplay hiyo cd tuiskie
Hizo ndio changamoto za upangaji hakuna jinsi maana tunakaa kwenye nyumba ambazo wakati mwingine hazina privacy, kama mtu unakaa nyumba haina ceiling board unategemea nini? (uvumilivu tu ndio unatakiwa hapa maana kelele zingine ni za kawaida ila nyumba tunazoishi ndio zinasababisha tusikie yale yasiyotuhusu)
weeee.....mtu anirecord aone......
Lazima nimpelekee mke wangu, maana kuna mtu anatukera kupita maelezo, yaani ile nyuma isngekua na ukuta hata sijui ingekuaje maana hapo ni ukuta na ukuta na kuna upenyo mkubwa tu kati ya nyumba moja na nyingine lakini kila siku saa nane hadi kumi asubuhi lazima ushtuke.....kweli usiombe
Is that an audio or visual record? I prefer visual to audio ...
Makelele ya aina hiyo yanadhibitiwa na Taarabu la mzee yusuf..Unafunga spika la kichina chumbani kwako huko nje wanaburudika tu....Hii inaaply sana uswazi
ha ha ha! Hiyo kweli kali...Yani wanazungukana kumpata mwenye makelele zaidi? Lkn nao watakuwa wachafu..
Kuna FFU aliniazima spika na CD akaniambia Hanga lao (mabweni ya NCO's jeshini) wanakata vyumba kwa vitambaa lakini nyimbo za visichama na wadada ni balaa hasa usiku wanapopokeana shift na mara nyingi wanazungukana kufuata yule wa juzi aliyetoa manjonjo km jamaayake kapangwa lindo mmmmm patamu hapo nyumba za kupanga!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Makelele ukikolezwa ndo zako nini? Mbona umejihami mapema??weeee.....mtu anirecord aone......