Duh......
Mi mwenzenu nikiwa kwenye majamboz ndio maana naamua kulala kama gogo, maana nikisema niweke makashkash, kelele zinakuwa nyingi, yaani kama honi za mabasi ya zamani ya kwenda mombasa.
Kwa hiyo kitu nikikichomeka tu ndio unakuwa mwisho wa ku pump
Hizo ndio changamoto za upangaji hakuna jinsi maana tunakaa kwenye nyumba ambazo wakati mwingine hazina privacy, kama mtu unakaa nyumba haina ceiling board unategemea nini? (uvumilivu tu ndio unatakiwa hapa maana kelele zingine ni za kawaida ila nyumba tunazoishi ndio zinasababisha tusikie yale yasiyotuhusu)
Ha haaa .....Mh kwani hakuna cieling board kwa hiyo nyumba. Enzi hizo niliwahi kwenda kwenye mechi za ugenini nakukuta nyumban haini cieling hizo kelele sasa alizokuwa akipiga huyo demu mpaka nakasema anawakomoa jirani zake asubuhi nilitoka jogoo la kwanza sikutaka ushahidi.
Lazima nimpelekee mke wangu, maana kuna mtu anatukera kupita maelezo, yaani ile nyuma isngekua na ukuta hata sijui ingekuaje maana hapo ni ukuta na ukuta na kuna upenyo mkubwa tu kati ya nyumba moja na nyingine lakini kila siku saa nane hadi kumi asubuhi lazima ushtuke.....kweli usiombe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.